mtaalamu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Rais Samia ataleta siasa muafaka.Ni mtaalamu wa siasa ila wengi hawajui

    Nimefuatilia Sana nyendo za Rais Samia Suluhu Hasan,anajua siasa Sana Ila anajua namna ya kuwa mtulivu na anajua kuwasoma wapinzani ndani na nje ya chama chake,subirini muone
  2. M

    Mtaalam na mzoefu wa kufuga kuku na kuwahudumia

    Habari watu makini. Nieandaa project au mapango wa kufuga kuku inarange 10m to 15m, kwasasa niko Dar lkn huu mpango naenda kuufanyia Tarime cz ndo naishi huko. Nahitaji Mtu ambae atasimamia huu mradi wangu kama General manager, atakaa kwangu hadi atakapoamua kupanga au la. Mshahara...
  3. Analogia Malenga

    Wizara ya Afya yamtafuta mtaalamu aliyefumua jeraha la mgonjwa baada ya kushindwa kulipa hela

    Wizara ya Afya imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa hii inayozunguka mitandaoni kuwa, mtaalamu wa Afya katika kituo ambacho bado hakijatambuliwa amemshona mgonjwa jeraha kisha akalifumua kwa madai kuwa mgonjwa huyo hakuweza kulipia gharama. Ikiwa hili limetokea nchini Tanzania, basi ni...
  4. A

    The Moderna COVID-19 (mRNA-1273) vaccine: what you need to know

    Who should be vaccinated first? As with all COVID-19 vaccines, health workers at high risk of exposure and older people should be prioritized for vaccination. As more vaccine becomes available, additional priority groups should be vaccinated, with attention to people disproportionately affected...
  5. A

    Mtaalamu wa Aluminium na Vioo Mbezi ya Kimara

    Mbezi Aluminium and Glass, Wataalamu na wabobezi wa kutengeneza madirisha ya aluminium aina zote, milango ya Aluminium aina zote, Office partition, Balusters, Kitchen cabinets. Pia tuna ofa zifuatazo; = Madirisha ya chooni = Usafiri mpaka site ni juu yetu = Tuna Generator kwa zile Site ambazo...
  6. Madear

    Mimi ni Aquaculturist, nitumie kwa mradi wowote wa ufugaji samaki

    Habari za wakati huu Wakuu. Kwanza kabisa nianze kwa kutoa pole kwa changamoto mbalimbali za kimaisha mnazozikabili. Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 23, kitaaluma ni mtaalamu wa ufugaji samaki (Aquaculturelist). Ngazi ya elimu Diploma in aquaculture technology. Pamoja na...
  7. mngony

    Kuletewa Balozi mtaalamu wa Ulinzi wa Masuala ya Mitandao ni 'Diplomatic Gesture' ?

    Kwa wale mliofatilia tukio la kukabidhi hati Ikulu Magogoni kwa Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania, mtakuwa mlisikia kuwa Balozi mpya wa Italy nchini ni mbobezi wa masuala ya 'Cyber Security' Je hii ni diplomatic gesture? Kwamba viongozi wetu wakubwa wameonekana kulalamika dharani...
  8. Bata Boy Official

    Natafuta mtaalamu wa kutengeneza App na website

    Habari wakuu? Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Nina wazo zuri sana, ambalo nimeshaliandalia PROPOSAL tayari. Wazo hili utekelezwaji wake unahitaji APP na WEBSITE vyote kwa pamoja. Ila kwa bahati mbaya mimi sio mtaalamu sana wa mambo ya CODING na PROGRAMMING LANGUAGES, hivo nilikua...
  9. The Consult

    Jinsi ya kuandaa mpango wa biashara (Business Plan)

    Mpango wa Biashara (Business Plan), ni nyenzo muhimu katika mafanikio ya biashara. Mpango wa Biashara humsaidia mjasiriamali ku-shape wazo lake la biashara na kulifanya kuwa fursa (Opportunity). FAIDA ZA KUWA NA MPANGO WA BIASHARA Hutoa taarifa za msingi juu ya biashara; zinazomuwezesha...
Back
Top Bottom