Mayela chalya's
Member
- Sep 7, 2013
- 16
- 10
Habari watu makini.
Nieandaa project au mapango wa kufuga kuku inarange 10m to 15m, kwasasa niko Dar lkn huu mpango naenda kuufanyia Tarime cz ndo naishi huko.
Nahitaji Mtu ambae atasimamia huu mradi wangu kama General manager, atakaa kwangu hadi atakapoamua kupanga au la. Mshahara ntakubaliana nae, baada ya biashara kukua ntaisajili kama enterprise na huyo manager wangu ntampa nafasi ya kua ubia kama atapenda. kwa kifupi ni hayo tu
Nieandaa project au mapango wa kufuga kuku inarange 10m to 15m, kwasasa niko Dar lkn huu mpango naenda kuufanyia Tarime cz ndo naishi huko.
Nahitaji Mtu ambae atasimamia huu mradi wangu kama General manager, atakaa kwangu hadi atakapoamua kupanga au la. Mshahara ntakubaliana nae, baada ya biashara kukua ntaisajili kama enterprise na huyo manager wangu ntampa nafasi ya kua ubia kama atapenda. kwa kifupi ni hayo tu