Baada ya miezi 6 ya kukaa majumbani, wanafunzi nchini Sudan Kusini wanarejea darasani kuanzia Jumatatu, Waziri wa Habari wa nchi hiyo amesema.
Hatua hiyo ya Sudan Kusini inafuatia uamuzi wa Baraza la Mawaziri kuondoa katazo lililowekwa mwezi Machi na Rais Salva Kiir la kufunga shughuli zote za...
POLISI mkoani Rukwa wanamtafuta kijana mkazi wa mtaa wa Kanisa Katoliki Manispaa ya Sumbawanga, Joseph Kalolo ‘Mwamba’ (35) kwa tuhuma za kumnyonga mkewe na kuutenganisha mwili sehemu mbili kwa shoka.
Inadaiwa kuwa baada ya ‘Mwamba’ kumuua Maria Kaozya (30), alimchukua mtoto wao akamkabidhi kwa...
Nasema ingawa najua wengi hawapendi kusikia hasa kwa vile hawana maeneo ya kukimbilia. Anachofanya ZZK, Zitto ni sawa na kuhalalisha utoaji wa mimba katika chama chake. Wakongwe wameshindwa anachofanya kwa sasa. Chadema wamefanya wakagundua kuwa ina shida. Mwaka huu wameelewa nini maana ya...
Jumla ya wazazi 35 wakazi wa Kata ya Nalasi katika Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, wamekamatwa na polisi kwa tuhuma za kuwafungia watoto wa kike chini ya miaka minane huku wakiwafundisha mbinu za kuishi na wanaume maarufu kama “Msondo” mila ambayo imekuwa ndiyo chanzo kikubwa cha mimba za...
Habari za muda mrefu wakuu wakazi.
Leo ningependa kushare jambo moja muhimu hasa kwa wanaume wenzangu, unajua kumbe sisi vijana wakiume tunapochelewa kuoa au kupata watoto huwa inawakwaza sana wazazi wetu.
Hii imenitokea mimi binafsi na nimeshuhudia, kwanza nilipanga nisizae nje hadi nifunge...
Mlipuko wa virusi vya Corona unaoshuhudiwaduniani kote umeleta athari kubwa katikauchumi na maisha ya watu, kwani biasharazimefungwa, shule zimefungwa, na waajiriwawengi wanafanya kazi majumbani, huku wale ambao kwa bahati mbaya iliwalazimu kutoka ilikupata pesa za kulisha familia wakiwa...
"Katika kipindi cha likizo ya COVID 19 Wanafunzi 101 Shinyanga wapata mimba"
WANAFUNZI 101 mkoani Shinyanga wamepata ujauzito katika kipindi cha mwezi mmoja, kuanzia Machi hadi Aprili Mwaka huu.
Wanafunzi hao wamepata ujauzito huo katika kipindi cha likizo ya kujikinga na maambukizi ya homa...
Mimba za utotoni Misungwi zaongezeka
IMEBAINIKA kuwa wilaya ya Misungwi katika kipindi cha miezi mitatu ya Januari hadi Machi mwaka huu kiwango cha wanafunzi na watoto wadogo kupata ujauzito imeongezeka.
Katika kipindi cha miezi mitatu, wilaya hiyo jumla ya wanafunzi na watoto wadogo wamepata...
Nauliza kipi bora hasa
Unakuta mwanamke mwenye mtoto watu wanamkimbia bila kujua faida zake
Ni Bora ambaye Ana mtoto maana kuna muda anakupa matumain kuwa hujaoa mgumba au akizaa watoto awafi
Unamkuta dada mdogo, hajawahi kuzaa, hajaolewa, lakini anatumia uzazi wa mpango. Hapo hapo kashatoa...
Salaam,
Tuzidi kuchukua tahadhari dhidi ya Covid-19 , maana ipo na ni hatari.
Naomba niingie moja kwa moja katika mada husika;
Ni hivi, kuna ndugu yupo mkoa fulani ndani ya Tanzania. Ndugu huyu anamtoto mmoja tu, ambaye ni wa kike.
Umri wa msichana wake, ni chini ya miaka 22, lakini...
Yaani hata ukute mdada ana mimba ya wiki mbili, yaani haionekani kabisaaa utakuta mtu anatundika Mtandio begani anafunika tumbo, mi nikiona mdada kafanya hivyo najua kabisa mzigo tayari.
Mnafanya hivi kwa kuwa mnaona aibu?, au kutujuza mabaharia tusiwasumbue, kwamba kuna baharia alishawahi? au...
SERIKALI mkoani Mbeya imeombwa kuingilia kati sakata la binti mwenye ulemavu wa akili anayepewa mimba mfululizo na mtu asiyejulikana.
Hadi sasa amezalishwa watoto watano pasipo baba yao kujulikana na sasa ni mjamzito tena. Wananchi wameomba Serikali imtafute mwanaume anayempa mimba binti huyo...
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia...
Dr Abbas ambaye ni msemaji mkuu wa serikali anasema wanafunzi wanaopata mimba shuleni hawatarudi kuendelea na masomo katika mfumo rasmi bali wataruhusiwa kupitia mfumo usio rasmi yaani private candidates.
Abdul Nondo boss wa vijana pale ACT wazalendo anapinga vikali yeye anataka wanafunzi hawa...
Mimba za utotoni ni moja ya mkwamo mkubwa wanaopitia mabinti walio shuleni kuweza kutimiza ndoto zao. Katika kipindi hiki cha likizo ya ghafla hatari ya mabinti kupata mimba ni kubwa zaidi.
Hata hivyo yafuatayo yanaweza kukusaidia kuepuka vishawishi na matamanio ya kingono;-
Fanya mazoezi ya...
Binafsi kuna wanawake nimewahi date nao na wametoa mimba yangu
Wa kwanza niliishi nae kama mke pindi nimemaliza chuo nilimpata field then nikamsaundisha akanikubalia, tulikuwa tukitumia condom mara nyingi wakati wa kugegedana but tulikuja acha baada ya kupima. Alivyopata mimba hakuniambia ila...
Katika kile kinachoonekana kama kupiga hatua kwenye uelekeo sahihi, wizara ya elimu kupitia katibu mkuu wake Dr. Leonard Akwilapo imekanusha madai ya kuwa watoto wa kike waliopo mashuleni watapimwa mimba kwa lazima.
Taarifa hiyo iliyotolewa tarehe 06-03-2020 imefafanua kuwa kauli ya kuwapima...
Wanafunzi 184 kati ya 2,091 wa Shule za Msingi na sekondari mkoani Pwani wamekatisha masomo kutokana na kupata mimba kwa mwaka 2019.
Kati yao waliopata ujauzito, wa shule za msingi ni 40 na 144 wa sekondari huku wanafunzi 1,907 wakishindwa kuendelea na masomo kutokana na utoro.
Kutokana na baa...
Nadhani Kati ya wanawake waliodate na Diamond, wawili ndo walikuwa brightest of all, kwanza kielimu na pia kitabia. Nawaongelea Penny na Kidoti.
Hawa kinamama waliweza kuona mbele na hawakutaka kuja kuwa masingo mother Kama Zari, Missa, Tanasha. Coz waliijui na kuisoma vizuri tabia ya mmanyema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.