The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,539
- 1,754
Binafsi kuna wanawake nimewahi date nao na wametoa mimba yangu
Wa kwanza niliishi nae kama mke pindi nimemaliza chuo nilimpata field then nikamsaundisha akanikubalia, tulikuwa tukitumia condom mara nyingi wakati wa kugegedana but tulikuja acha baada ya kupima. Alivyopata mimba hakuniambia ila aliitoa kwa ushawishi wa rafikia ake .Lakini yeye alikuja kuniambia imeharibika but nina uhakika aliichomoa coz hata rafiki ake aliwahi fanyaga hivyo
Cha ajabu mpaka leo hii hana uwezo wa kupata mimba na huwa anajutia sana.
Wa pili: Huyu ni single mother yeye alipata mimba mara mbili na zote amepiga chini bila mimi kujua ya kwanza nilijua kwani aliniambia na mimi kumjibu kuwa niko tayari kulea lakini aliitoa kwa kigezo hataki tena kuzaa. Mara ya pili aliichomoa bila mimi kujua na kuniambia imeharibika
Watatu: Huyu ni mke wa mtu nilichepuka nae, alikuwa ananipenda sana , ila cha ajabu alikuwa hataki condom kabisa, hivyo tulipima mara kadhaa kisha nikamgegeda pasipo kutumia condom then akapata ujauzito naye pia aliichomoa kisha akaja niambia imeharibika
Embu nawe mdau ongezea kisa chako
Wa kwanza niliishi nae kama mke pindi nimemaliza chuo nilimpata field then nikamsaundisha akanikubalia, tulikuwa tukitumia condom mara nyingi wakati wa kugegedana but tulikuja acha baada ya kupima. Alivyopata mimba hakuniambia ila aliitoa kwa ushawishi wa rafikia ake .Lakini yeye alikuja kuniambia imeharibika but nina uhakika aliichomoa coz hata rafiki ake aliwahi fanyaga hivyo
Cha ajabu mpaka leo hii hana uwezo wa kupata mimba na huwa anajutia sana.
Wa pili: Huyu ni single mother yeye alipata mimba mara mbili na zote amepiga chini bila mimi kujua ya kwanza nilijua kwani aliniambia na mimi kumjibu kuwa niko tayari kulea lakini aliitoa kwa kigezo hataki tena kuzaa. Mara ya pili aliichomoa bila mimi kujua na kuniambia imeharibika
Watatu: Huyu ni mke wa mtu nilichepuka nae, alikuwa ananipenda sana , ila cha ajabu alikuwa hataki condom kabisa, hivyo tulipima mara kadhaa kisha nikamgegeda pasipo kutumia condom then akapata ujauzito naye pia aliichomoa kisha akaja niambia imeharibika
Embu nawe mdau ongezea kisa chako