ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,979
- 3,919
Nadhani Kati ya wanawake waliodate na Diamond, wawili ndo walikuwa brightest of all, kwanza kielimu na pia kitabia. Nawaongelea Penny na Kidoti.
Hawa kinamama waliweza kuona mbele na hawakutaka kuja kuwa masingo mother Kama Zari, Missa, Tanasha. Coz waliijui na kuisoma vizuri tabia ya mmanyema master wa copy n paste and remix za hit song za watu. Na ndo nimepata jibu kwanini wanawake wale wali abort mimba za D, mpaka analalamika Sana mpaka kwenye nyimbo.
Hawa kinamama waliweza kuona mbele na hawakutaka kuja kuwa masingo mother Kama Zari, Missa, Tanasha. Coz waliijui na kuisoma vizuri tabia ya mmanyema master wa copy n paste and remix za hit song za watu. Na ndo nimepata jibu kwanini wanawake wale wali abort mimba za D, mpaka analalamika Sana mpaka kwenye nyimbo.