The career is an individual's metaphorical "journey" through learning, work and other aspects of life. There are a number of ways to define career and the term is used in a variety of ways.
Wana JF Mbathane in mtanzania anatumia lugha yake adhimu sasa baada ya kuharibu lugha ya watu, tafadhari mbele yenu ni kijana mhangaikaji natafuta fursa ya ajira hata ya kujitolea kwa kupata angalau nauli maana unapokuwa na sehemu unajitolea ni rahisi kupata sehemu nyingine kuliko kukaa mtaani...
On June 20, 1990, pilot Captain Tim Lancaster boarded a flight that would see him defy death in a horrific incident at 17,300 ft in the air.
The British Airways pilot went about his work day the same as any other until 13 minutes into the flight from Birmingham to Malaga when the glass in the...
Mhandisi wa kompyuta huchanganya uhandisi wa umeme na sayansi ya kompyuta ili kutegeneza teknolojia mpya. Wao hupanga, kujenga, na kuratibu vifaa vya kompyuta katika kompyuta za kisasa.
Wahandisi hawa wanazingatia kuunganisha vifaa(hardware) na programu(software) katika mfumo mmoja...
Kama upo na talanta au karama hakikisha unaitoa kwa njia chanya Kwa WATU baada ya hapo karama yako itakuzwa Mara-dufu.
Hii ndo siri huwa wanaitumia watu Kama Robert Heriel Mtibeli na wengine katika kupata Mafunuo ya kuandika na kufatiliwa na WATU
Mungu aliwapa karama na wakaitumia positive na...
Fundi maestro kutoka Croatia, Luka Modric (Mtakatifu Luka) ni miongoni mwa viungo washambuliaji kwa miaka 10 iliyopita.
Hakuna asiyejua Modric alikuwa ni moja ya injini ya mafanikio huko Bernabeu wakati Real Madrid ikitwaa UCL mara 3 mfululizo.
Lakini cha kushangaza kama sio kustaajabisha...
Changamoto za ndoa zimekuwa nyingi sana sababu ya kesi za ugumba.
Mume analalamika mkewe hashiki mimba kumbe kamuoa binti akiwa above 28 binti kashakula sana p2 huko nyuma. Kina Dr Mwaka wanapiga hela za ujanja ujanja na bado mimba hazipatikani
Kutumia Vidonge vya kuzuia mimba muda mrefu...
Pambano ni Jumapili tarehe 9 April, 2023. 5:00 AM GMT
Israel Adesanya aka The Last Stylebender
Record: 23-2-0
HEIGHT: 6' 4"
WEIGHT: 185 lbs
REACH 80"
STANCE: Switch
DATE OF BIRTH: Jul 22, 1989
NATIONALITY: NIGERIA/NEW ZEALAND
Ikumbukwe pambano lililopita UFC 281 Israel Adesanya alipoteza...
What is career?
A person’s course or progress through life. It also pertains to his occupational or profession that usually involves special training or formal education and is considered to be a person’s lifework. (Oxford English Dictionary)
Career development is an ongoing process of gaining...
Given the stress of these pressures, Most conversations reveal a common feeling rising to the surface: fear.
Fear is manifesting itself in a wide range of ways in corporate hallways and virtual channels. Alarm paralyzes us and leads to counterproductive behaviors. We postpone taking action...
Nimemaliza diploma kutoka college ja ndoto zangu ziko in computer science najua programming languages kadhaa inshort najua field hii inataka nini.
Ila changamoto ni chuo kipi kitanifaa kwa level yangu na kunipa chance ya kula explore deeper in the field.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.