Habari wadau,
Mitaani kuna watu wanapita wanakusanya kiasi fulani cha hela ikiwa kama initial deposit ya kupata mikopo midogo midogo(microfinance) na hao watu wanadai mikopo hiyo ni kutoka U.T.T(Unit Trust of Tanzania) hivyo nimepata wasi wasi na suala hili, naomba kupata ufahamu kuhusu hili...
Habari zenu wakuu,
Nimesikia kuwa tayari waziri wa Kazi mama Kabaka ameshatangaza Tangazo la serikali kuhusu mishara mipya, kwa wenye kulijua suala hili zaidi naomba mtusaidie kama kweli hilo tangazo limtoka na kama limetoka ni namba ngapi na la tarehe gapi (GN no.ngapi).
By the way Naomba...
According to East Africa newspaper dated March 26-22, 2013
Tanzania is the only country in the region that adhered to the december 31, 2012 deadline agreed to by five members states of EAC.
Newspaper also stated that, The EAC deadline was intended to help countries address any problems ahead...
Wanajamvi mwenye kulifahamu ili vizuri leo nasafiri kutoka arusha kwenda, kinachonishangaza njia hiyo kuna road blocks kibao ambapo kuna askari wa kawaida halaf wameshika mitutu, wa uhamiaji na trafiki, sasa wenye kujua zaidi watujuze ni kwa nini au ndio wahamiaji haramu kutoka kenya ?
Leo ndio mara yangu ya kwanza kuja R Chuga, nimeona ni jiji zuri sana lina baridi la wastani, lakini nasikia ni jiji la kibabe, anaway suala kubwa lililönileta hapa ni kuwa nimefikia maeneo ya kaloleni karibu na shivas na picnic sasa nimeoneshwa dada poa kibao nataka ninunue mmoja anikaribishe...
Wakuu wa jamvi naomba msaada, nina mtoto wangu wa miaka 2 nataka nimsajili day care yoyote hapa dar es salaam naomba mnisaidie kunijuza ni day care ipi nzuri na ni english medium na ada yake ni ya wastani, ili nimpeleke hapo, ahsanteni wakuu
Kuna jamaa ana demu wake, kila mmoja ana mtoto mmoja, na kila mmoja anaishi kwake na mtoto wake, (mtoto wa mwanamke anamuita jamaa uncle na mtoto wa mwanaume anamuita demu aunt). Kutokana na mazingira inabidi kila wanapotaka kukutana mwanaume aenda kwa mwanamke, sasa jamaa analalamika mwanamke...
Kuna jamaa ana demu wake, kila mmoja ana mtoto mmoja, na kila mmoja anaishi kwake na mtoto wake, (mtoto wa mwanamke anamuita jamaa uncle na mtoto wa mwanaume anamuita demu aunt). Kutokana na mazingira inabidi kila wanapotaka kukutana mwanaume aenda kwa mwanamke, sasa jamaa analalamika mwanamke...
Kuna jamaa ana demu wake, kila mmoja ana mtoto mmoja, na kila mmoja anaishi kwake na mtoto wake, (mtoto wa mwanamke anamuita jamaa uncle na mtoto wa mwanaume anamuita demu aunt). Kutokana na mazingira inabidi kila wanapotaka kukutana mwanaume aenda kwa mwanamke, sasa jamaa analalamika mwanamke...
Jamani wana jamvi naombeni mnisaidie, mtu yeyote anayeifahamu hii kampuni ya hugo domingo naomba mnisaidie kunijuza kuhusu hii kampuni haswa kuhusu mishahara yao iko vipi?? Kuhusu security ya kazi hapo kwenye kampuni ??? na wako hapa mjini wana muda gani, wamiliki wa hii kampuni waki nani?? na...
Jamani naomba mnisaidie kwa mtu anyejua mishahara ya hii kampuni inayozalisha pepsi, haswa legal office, hr manager na senior security officer. Ahsanteni wana jf
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.