Habar,,,ndugu naomben msaada wa kutengeneza template itakayo nisaidia kutolea matokeo ya mtihani kidato cha pili na cha nne,nmejaribu kutengeneza kwenye excel nimeambulia patupu,,kwa yeyote mwenye ufaham naomba msaada,,mfano wanyotumia necta au wale wa zone kutolea matokeo..naomba kuwasilisha....
Habari,kwanza natoa shukrani kwa kunishaur juu ya ununuzi wa Wa simu,namshukuru Mungu kaniwezesha nimenunua NOKIA LUMIA 520,.
Kiukweli nimeshindwa kuunganisha internet na nnatumia line Airtel,na nshawapigia airtel bt cjapata msaada na wamenijubu pumba sana,Naomben msaada wenu wakuu..
jaman ndomaana huku napapendaga sana,na nnashukuru Kahela kameongezeka,ni laki 3 kamili nataka nijiumize kidogo,hapo nimeona kuna LUMIA 520 na 620,nipen ufahamu zaidi wakuu na hyo bei nilonayo kama itatosha,maana 2kijaaliwa uzima mwisho wa mwez huu..NAWASHKURU SANA KWA KUTOA ELIMU NZURI,.Respect!!
Salam,ndugu zanguni nimeulizia bei ya cm hii kwa midcom east,wameniambia ni 173000..naomben mnishaur kwa yoyote aliewah kutumia au anatumia vip inafaa?kama haifai naomba mnipe muongozo wakuu!Natanguliza shukrani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.