Hivi deadline ni lini?
Wanakufuatilia mpk kwenu kukupeleleza kwa jamii yako kwanza ndo wakuwazie kukuita interview
Habari zenu wana jf
naomba kujuzwa mwenye tetesi kuwa pccb wataita lini coz ndo sehemu pekee tunayoitegemea na kuhusu interview zao huwa zinzkuwaje?
natanguliza shukran zangu!
Wadau mie bado niko njia panda kuhusu cheti cha darasa la saba,mkuu wa shule anasema vyeti mwaka wetu havikutoka(2003) ila kaniandikia barua,je itafaa?
Sent from my BlackBerry Z10 using JamiiForums