Kuna askari hapa kituo cha USA river wana magari hayana hata plate number. Kuna mmija anagari aina ya nissan terano lina chasis number mwaka wa suta sasa
Wadau poleni na majukumu ya kujenga taifa hili, mimi ni mfanyabiashara wa shughulu za usafirishaji, nimekuwa kwenye biashara hii kwa takriban miaka 12 sasa, nimekuwa nikitumia Landcruser na Landrover kama vyombo vya usafiri. wiki iliyopita nilikwaruzana na mmoja wa wafanyakazi wangu ambaye...
Jamani naomba msaada nina kampuni yangu na nilitakiwa kulipa VAT, Provisional Tax
Mimi likikuwa nimesafiri nikakuta kijana wangu amelipa vyote kwa paoja kwa kutumia cheki moja.
sasa naomba msaada wa yafuatayo:-J
*Kuna kosa lolote kisheria
*Je ukilipa VAT kwa commisioner of demestic revenue...
Peoplesssssssssssssssssssssss Poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nitafarijika sana siku ya kesho, hata kama nitatembea kwa miguu kutwa nzima.
Na waajiri wenye vimbele mbele kesho wafyate mkia
Jamani mimi nipo hapa karibu na soko kuu kwenye jengo la Salim Alii, kweli hali ni shamra shamra tupu. Nimemuona Rasta Msaliti akikatiza huku na huko asijue cha kufanya, Nimemuona anaingia pale Arusha City Park ila sidhani kama watamuuzia hata chakula kuwadi huyu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.