Search results

  1. CharmingLady

    Sufuria za non stick

    Hi all Naomba kufahamu namna ya kujua sufuria bora za non stick maan saiv kila kona non stick. Haya wataalamu na wazoefu wa vyombo hivi tiririkeni. Natanguliza shukrani CL
  2. CharmingLady

    Nafasi ya Mafunzo ya Biashara

    Bwana Yesu Asifiwe! Habari za wakati Huu Watu Wa Mungu Kwa Jukwaa Hili!! Tumefungua Tawi Jipya Kimara Stop Over, Tunahitaji Vijana Kumi na Tano (15), Wanaoweza Kufanya Kazi Ya Masoko na Mauzo, Waliopo Dar Es Salaam Tu. Awe tayari Kuhudhuria Mafunzo Kwa Siku 30 Ili Kujifunza Kuijua Kazi...
  3. CharmingLady

    Hii ni nguvu gani?

    Hi all…. Hivi karibuni naona kuna kitu ambacho kinazidi akilini/mawazoni mwangu. Kwa mfano nikiwa namuwaza mtu muda sio mrefu ananipigia, au nikiwa nimeacha simu mbali afu nikamkumbuka mtu nakuta missed call zako. Au simu ikiwa mbali nikaisikia inaita namuhisi mtu anayenipigia ni nani na...
  4. CharmingLady

    Petrol station zinatumia mfumo kwa kadi

    Hamjamboje wanajamvi Naomba kufahamu ni vituo gani vya mafuta (Petrol station) vinavyotumia mfumo wa kadi na visivyo na usumbufu? Pia isiyochakachua pump zao. Mfano unahitaji kuwekea kadi yako sh. 100,000/- kisha ukawa unafika kituo cha mafuta wanakata kwenye kadi mpaka hapo itakapokwisha then...
  5. CharmingLady

    Tupia vimbwanga vya siku ya mtihani wa darasa la saba

    Kwa kuanza tuwaombee dua wanetu, wajukuu zetu, wadogo zetu wanaofanya mitihani yao leo na kesho... Turudi kwenye mada, Nakumbuka siku moja kabla ya mtihani wangu wa darasa la saba tulikwenda shule kuosha madawati, tulikuwa na viwembe kukwangua michoro na maandishi yote kwenye madawati. aisee...
  6. CharmingLady

    Dada Mishaly Sumary anaomba msaada kwa yeyote atakayeguswa na ugonjwa wake

    Habari za leo wana jukwaa, habari hii hapa chini si ya kwangu ila ni ya rafiki yangu. Naitwa MISHALY SUMARY naishi Kibaha Maili moja, nilikuwa nikifanya kazi katika Hospitali ya Burere kama Muuguzi kuanzia mwaka 2008 mpaka tarehe 26/12/2011 siku ambayo sitaweza kuisahau katika historia ya...
  7. CharmingLady

    Ashukuriwe aliyevumbua bra

    Habari za mchana waungwana, Huwa najiuliza huyu aliyevumbua bra aliwaza nini? Hebu fikiria kusingekuwa na bra hivi tungeishije wanawake... Yaani bila bra wengine tusingetoka ndani... Kudos kwa aliyevumbua CL
  8. CharmingLady

    Namtafuta Hoyce Temu

    Habari wadau wa jukwaa hili Nina shida ya kuonana na Hoyce Temu, ninahitaji kufahamu je kipindi chake cha Mimi na Tanzania kinaendelea? Je ofisi zake ziko wapi? Naomba kuelekezwa au hata mwenye namba yake ya simu naomba anitumie inbox. Wasalaam CL
  9. CharmingLady

    Pay Diamond ni nini?

    Wanajamvi Kuna kampuni moja inaitwa Pay Diamond, inajishughulisha na biashara ya mtandaoni. Je kuna wajuvi humu watuhabarishe isijekuwa kama DECI CL
  10. CharmingLady

    Kero ya barabara

    Hamjamboje wanajamvi Wahusika tunaomba msaada wa matengenezo ya barabara ya Azikiwe eneo la mbele ya Bank ya NMB Maktaba House. Kile kipande kimekuwa kero kwa sisi wapitaji... Sijui wahusika hawalioni hili??? Ujumbe uwafikie khaaa.... Wasalaam CL
  11. CharmingLady

    Tumejiandaje na Mei Mosi?

    Igweeeeeeeee.....!!!!! Ikiwa kesho ndio mwisho wa mwezi wa nne (April) sijasikia tetesi zozote kuhusiana na sherehe hizi... Je hakuna maadhimisho tena au Antenna yangu ndio iko analogy???
  12. CharmingLady

    Nahitaji simu yenye background nyeusi

    Wanajamvi hamjambo... Nahitaji kununua simu yenye black background maandishi yanakuwa meupe ninapoandika sms. Ninayo simu ya aina hiyo lakini haisupport baadhi ya application. Je ni simu gani inaweza kuwa na hiyo features??? C.c. @chiefmkwawa
  13. CharmingLady

    Je ni sahihi kuwalaza watoto....

    Hamjambojeeee..... Wanajamvi, je ni sahihi kuwalaza watoto chumba kimoja pamoja na wageni??? Fikiria umepata mgeni, una chumba chako, cha watoto wa kike na wakiume. Mgeni ni mwanaume, je unamruhusu alale pamoja na watoto wa kiume??? Mgeni ni mwanamke je utamruhusu alale na watoto wa kike...
  14. CharmingLady

    Msaada kuhusu AC ya kwenye gari

    Hamjamboje wana jukwaa... Samahani kama hii mada itakuwa imeshajadiliwa, mnaweza kuiunganisha iwapo tayari imeshajadiliwa... Nauliza kuna uhusiano gani kati ya unywaji wa mafuta kwenye garu na uwashaji wa AC.. Kuna siku tulikuwa tunabishana sana mahali fulani. Mwingine alisema ukiwasha AC...
  15. CharmingLady

    Tetesi: Hotel ya Ryan Bay Mwanza kubomolewa

    Wanajukwaa kwa masikitiko makubwa, habari zisizo rasmi "tetesi" ni kuwa Hotel ya kitalii ya RYANS BAY iliyopo jijini Mwanza itabomolewa kupita eneo la Reli. Mwenye habari kamili atuhabarishe...
  16. CharmingLady

    TANZIA: Baba wa marehemu Amina Chifupa, Mzee Chifupa Afariki dunia

    Kichwa cha habari chahusika, Source: Clouds TV
  17. CharmingLady

    Hawa mbwa siwaelewi kabisaaaa

    Habari wanajamvi, Hapa kwangu huwa sifugi mbwa wala mfugo wowote, sasa basi walianza mbwa na mama yake wakawa wanalala mbele ya nyumba yangu Kadri siku zinavyoendelea wanaongezeka, mpaka sasa ninavyoandika wamefika mbwa 11. Wamajilaza tu mbele ya nyumba yangu. Kinachonishangaza hawaendi...
  18. CharmingLady

    WAJASIRIAMALI: Kuweni makini na rangi mtumiazo kwenye biashara zenu

    Nguvu Ya Rangi Katika Biashara Zetu Na: Albert Sanga, Iringa. Leo nitawapitisha wajasiriamali katika somo muhimu kuhusu rangi. Je, unafahamu chimbuko la neno yeboyebo hapa nchini? Twende pamoja. Kampuni moja ya nchini Tanzania miaka michache iliyopita imewahi kutambulisha bidhaa zake za juisi...
  19. CharmingLady

    Tetesi: Nywele za binadamu zimekuwa dili

    Igweeeee....... Kuna jamaa mmoja amesema kuwa yeye amepata dili la kuuza nywele za binadamu nchini Kenya. Nywele hizo hutumika kutengenezea viti vya ndege... Kwani husaidia viti kutobonyea. Wadau hii ni kweli??? CL
  20. CharmingLady

    Hizi ni mbegu za mmea gani?

    Habari za mchana mabibi na mabwana jamvini hapa? Hizi hapa chini ni mbegu za mmea gani na zina kazi gani? Nikiwa mdogo nilikuwa naziona kwa bibi yangu, na alikuwa anazitunza sana. Sikuwahi kufikiria kuwa ni mbegu za mti, wala sikuwahi kumuuliza kazi yake. Sasa hivi karibuni nikauona huo mmea...
Back
Top Bottom