CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,257
- 12,877
Kwa kuanza tuwaombee dua wanetu, wajukuu zetu, wadogo zetu wanaofanya mitihani yao leo na kesho...
Turudi kwenye mada,
Nakumbuka siku moja kabla ya mtihani wangu wa darasa la saba tulikwenda shule kuosha madawati, tulikuwa na viwembe kukwangua michoro na maandishi yote kwenye madawati. aisee tulisugua na kukwangua mpaka madawati yakawa kama yamepigwa randa.
hebu na wewe tupia tukio ulilofanya wakati wa mtihani wa darasa la saba.
CL
Turudi kwenye mada,
Nakumbuka siku moja kabla ya mtihani wangu wa darasa la saba tulikwenda shule kuosha madawati, tulikuwa na viwembe kukwangua michoro na maandishi yote kwenye madawati. aisee tulisugua na kukwangua mpaka madawati yakawa kama yamepigwa randa.
hebu na wewe tupia tukio ulilofanya wakati wa mtihani wa darasa la saba.
CL