kwa wale ndugu amabo wameshawahi ku appel miaka ya nyuma au wanajua mambo fulani kuhusu ku appel wanipe maneno hapa nlitaka kujua prosec nzma pia nlipnda kujua huwa yanatoka lini hayo majibu?
mimi ni mwanafunzi niliechaguliwa kuingia chuo kikuu cha ifm kuchukua degree lakini sina uwezo kwa sasa na hata mkopo sikubahatika kupata baba yangu alikwisha faliki miaka mingi liyopita na mama yangu amepunguzwa kwenye ajira yake hivyo nilikuwa nnapenda kuchukua fulsa hii kuomba msaada wa...
Ivi jaman mm nataka kujua kwanini inakuwa hivi au tatizo ni nini watu wengne kuwa na criterias lakini hata asilimia 0 hamna itz not fair kwakweli heslb hata cielewi nifanye nini au ntafanya nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.