Habari ya muda huu wana JM ninayo furaha kubwa kuwa nanyi ktk kubadilishana mawazo na kusaidiana pale tunapopata muda katika pitapita yangu nimekutana na hiki kitu hebu kiiangalie na ujiulize wewe upo ktk aina ipi kati ya hizo...
Jamaa mmoja alikuwa anakwenda polini kuchanja kuni mambo yalikuwa hivi
Jamaa; mkewangu niandalie shoka langu
Mama; haya[kaandaa akampatia jamaa kaweka kwenye kikwapa]
Jamaa; akitengeneza ka bangi huku kashoka kakiwa kwapani kaanza kuondoka
Jamaa; kafika njiani akaanza kujiuliza hivi mkewangu...
Habali za wakati huu wana JMF naomba mnisaidie kati ya haya maswala Nitalitambua vipi penzi la kutoka moyoni na penzi la kutoka kwa mganga Maana wanaume wengine unakuta anafanya kazi zote za ndani na mkewe yupo kakaa ukiiuliza unaambiwa mapenzi ya dhati na aliyelogwa nae vilevile na jamaa zangu...
kunajamaa wawili WALOKOLE walimuwania dem mmoja kwa nyakati tofauti basi dem akawapanga
wa kwanza akaambiwa uje saa mbili usiku nitakuwa bado naongea na wazazi wangu
na wa pili uje saa tatu utanikuta kitandani
wa kwanza akaingia akajiandaa na kujilaza kitandani
wa pili akaja akakuta mtu...
mtoto wa kike alipewa kiazi na mama yake wakati mama analekebisha msosi jikoni na baba alikuwa anasoma gazeti la Ngono sebuleni huku kavaa taolo peke yake
mtoto--------- sitaki
mtoto---------sitaki
mtoto---------sitaki
mama hutaki nini wewe
mtoto Si mtoto wa baba ambaye hana mabega ananiomba...
kuna jamaa watatu walikwenda polini kuwinda gafra akatokea simba kila mmoja alipita njia yake mmoja kati yao akapanda mtini baada ya muda simba nae akaja palepale chini ya mti na kuweka pozi. Simba huyu alionekana hana taarifa juu ya kujificha kwa jamaa aliye juu mara usiku ukaingia jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.