somba kankara
Member
- May 6, 2012
- 84
- 13
Habali za wakati huu wana JMF naomba mnisaidie kati ya haya maswala Nitalitambua vipi penzi la kutoka moyoni na penzi la kutoka kwa mganga Maana wanaume wengine unakuta anafanya kazi zote za ndani na mkewe yupo kakaa ukiiuliza unaambiwa mapenzi ya dhati na aliyelogwa nae vilevile na jamaa zangu husema love-up to the craz-point