*WHEN TO BE SILENT*
1. Be silent - in the heat of anger.
2. Be silent - when you don't have all the facts.
3. Be silent - when you haven't verified the story.
4. Be silent - if your words will offend a weaker Person.
5. Be silent - when it is time to listen.
6. Be silent - when you are...
Tunapenda kutambulisha website Macstage real estate | Powered by Topgcstech web solution ambayo ina husika na matangazo yanayohusu Ardhi,Nyumba kwa yeyote anayetaka Kuuza/Kununua unaweza kutupia humo.
Ni site inayojihusisha na REAL ESTATE.
Pia tunapokea ushauri wa maboresho ya website zaidi...
Ninaweza kupata mawasiliano ya mafundi wa finishing ya nyumba Kama ifuatavyo :-
1. Gypsum designer
2. Paint designer/skimming
3. Tiles
4. Garden designer
5. House decorater
Ahsante.
Kwakuo hoja nyingi bungeni na wabunge kuzibwa midomo kutokana na katiba yetu na sheria zake mbovu kutojali maslai ya wananchi je Tumejifunza nini?
Pia tukumbuke serikali imetumia huu mwanya kuficha uozo wake mfano:
1. Mahakama; serikali imetumia sheria mbovu za kikatiba kuanzia uteuzi wa...
kuna wimbi la watu wametokea kudharau fani yenu na hata kufikia kuwadharau na mbaya zaidi kuwafananisha na hitler.
Napendekeza wale wote waliohusika na kuwakejeli namna moja au ingine tuwaweke wazi ili iwe fundisho wao na vizazi vyao kutopewa huduma yoyote wanapokua wanaitaji huduma...
Nina bachelor ya Computer science, Diploma ya IT na FTC ya Electronics & Telecommunication mwenye uwezo wa kunipatia or kunitafutia ajira kwa garama yoyote ile plse!
Kwa kuwa kumetokea malalamiko mengi hususani chaguzi ningependekeza yafuatayo;
1. Wabunge wote wa CDM na viongozi watiifu wote ndani ya chama washiriki kwenye kusimamia kura katika vituo vyote vya kupigia kura hii itawasaidia kutotokea kwa mbunge kurubuniwa (rushwa) au udanganyifu wowote...
Kwa siku kazaa kumetokea majibishano concern Arumeru je mmeshafanyia hizi tafiti na mkajua mtashinda?
1. Kuboresha Daftari la wapiga kura
Ikumbukwe hili ndilo jambo la msingi kabla ya kuingia kwenye chaguzi ndogo Arumeru kwa kusema hivi ni kwamba tulio wengi hapa kila kukicha topic ni...
Wana jf naomba msaada kwenu natafuta mkopo wa 10M wa riba nafuu ila nimejaribu kwenda bank zote zikanieleza ili kupata mkopo natakiwa niwe angalau nabiashara na mimi ndio natafuta hiyo hela nianzishe biashara nina hati ya kiwanja mbweni, hati ya gari freelender na subaru forester chochote kati...
Wana JF naomba kujua kuna taarifa zilitangazwa wakati waziri wa uchukuzi kwa jina sifahamu ila nilisikia kwenye magazeti na TV kuwa YONO wastop kukamata magari na pia aliwapa kazi idara husika kusimamisha mkataba na YONO na jukumu zima kubeba wao sasa imekuaje tena wamerudi barabarani? na kwa...
Wana JF naomba kujua kuna taarifa zilitangazwa wakati waziri wa uchukuzi kwa jina sifahamu ila nilisikia kwenye magazeti na TV kuwa YONO wastop kukamata magari na pia aliwapa kazi idara husika kusimamisha mkataba na YONO na jukumu zima kubeba wao sasa imekuaje tena wamerudi barabarani? na kwa...
Naona kuanzia Loliondo, Uvvcm, Shigongo,Magufuli na Pinda imepoteza kabisa mstakabadhi mzima wa dowans au ndio movie zinachezwa hapa ili mwisho tusikie serikali na wanaharakati wameshindwa kesi jamanio anayejua kinachoendelea atujuze hapa JF
gari nauza aina Subaru Forester Year 1999, Km 105,000, 2.0cc, 4WD, Automatic, Turbocharge, good condition, small scruch and dent, kutoka Japan ilikua na KM88,000 so, almost 15000km nimetumia nikiwa nayo hapa Imesajiliwa tiari TZ, Ina mwaka tokea nimeiagiza na kuitumia. Bei ni 7M, let me know if...
Hello wana JF
Ningependa kutoa maoni yangu kama ifuatavyo
Nashukuru wana JF kwa michango yenu na habari mnazotuletea sisi kwetu ikiwa ni changamoto kwetu kujua mambo yanavyokwenda nchini mengine ni mazuri na mengiyao ni mabaya inadhihirisha wazi kuwa hiki ni kijiji cha great thinkers...
Hello wana JF
Ningependa kutoa maoni yangu kama ifuatavyo
Nashukuru wana JF kwa michango yenu na habari mnazotuletea sisi kwetu ikiwa ni changamoto kwetu kujua mambo yanavyokwenda nchini mengine ni mazuri na mengiyao ni mabaya inadhihirisha wazi kuwa hiki ni kijiji cha great thinkers...
Hello wana JF
Ningependa kutoa maoni yangu kama ifuatavyo
Nashukuru wana JF kwa michango yenu na habari mnazotuletea sisi kwetu ikiwa ni changamoto kwetu kujua mambo yanavyokwenda nchini mengine ni mazuri na mengiyao ni mabaya inadhihirisha wazi kuwa hiki ni kijiji cha great thinkers...
Napenda kujua ni Taasisi gani inakopesha kwa riba nafuu na wenye masharti yasio kuwa magumu cause izi bank zetu zina ukiritimba wa hali ya juu ingawa inawezekana baadhi ambazo sizifahamu zikawa ni rahisi kupata.
Pia natakiwa niwe na nini ili nikamilishe adhama yao ya kupata mkopo achilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.