mtoto mmoja alimuuliza mama yake nini maana ya kubeba mtoto mgongoni wakati mtoto anamiguu wakati huo mtoto huyoyupo mgomgoni akamwambia kwa sababu mtoto mdogo anatembea kwa fujo
Leo kuna baadhi ya magazeti ya memripoti daimond kuwa ana mganga wa mapenzi hapana naweza kulikataa swala zima la kusema kuwa diamondi anadawa ya mapenzi bali baadhi ya watu wamenukuu vibaya baadhi ya hawa madada wamekuwa wakimfuata diamondi kwa sababu ya umaarufu na yeye mwenyewe kupenda...
baadhi ya waandishi na magazeti ya udaku wamekuwa wakitangaza baadhi ya watu maarufu katika swala zima la mapenzi na kuonyesha kwa kiasi kikubwa baadhi ya wapenzi wakitwangana mangumi na kuachana kabisa lakini cha kushangaza kabila moja hapa Tanzania kutwangana ni kasumba yao nao uhishi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.