Peter Rabachi
Member
- Nov 11, 2011
- 9
- 3
Hivi ulikwishaga mpata?
Ni kweli alikua anatafuta? Una hakika? Nijib tafadhali.
Hivi ulikwishaga mpata?
Kuna watu wapo serious Kipipi... Sio threads zoote is a Joke....Kweli kabisa! Mi sijawahi kaa nikafikiria kuwa watu wanaoweka mabandiko humu huwa wako serious......tena kama hao wanaume ndo kabisaa!!
Ubuntu mgen brand new na post yako ya kwanza unakua muoga hivo?:embarassed2: Hii ni kazi kweli kweli!! Naogopa usipate kanyaboya ndugu!
hahahaha..... Wee usha pata Salok? Kama hujapata tumia hiizo tips kutafuta....nilifikiri ni mie tu, nikafungua kwa bidii nijue kulikoni
Of all the questions you could ask on the matter.... Hili ndio the best? I took it for granted jibu unalo.... kama nilimpata ama Lah!lolHivi ulikwishaga mpata?
Rabachi... NIMEOLEWA...Ni kweli alikua anatafuta? Una hakika? Nijib tafadhali.
Asante Wifi yangu... I hope you are well and good.@Peter Rabachi, sio kweli kwamba alikuwa anatafuta mchumba. Rudia kusoma sredi utaelewa alichokuwa anamaanisha!
Hahahahaha, kuna watu walikuja fastaaaa wanajua AshaDii anatafuta.
Alter, ukipokea PM yoyote watume kwangu, I am your PA in this matter. lol
Hahahahaha, kuna watu walikuja fastaaaa wanajua AshaDii anatafuta.
Alter, ukipokea PM yoyote watume kwangu, I am your PA in this matter. lol
Nami natafuta RR
Alter you're crazy! :lol: Sasa itakusaidia nini?Yaani Alter you will have to PA me in another matter.... Yaani sipati maombi hata mmoja... Sijui ndio gundu? lol Hata kama nimeolewa si watume nikatae? hahaha.....
Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa ? jamani hii title imeanza kupunguza uzito wake hapa love connect?. Hili ni jamvi la love connect but inaonekan sasa kama vile linakua la people connect? Wanaosaka wapenzi wanatangaza kama vile wanatafuta product?Jamani kwa wale ambao wako serious kutafuta wachumba awe wakike au wa kiume walau basi kuweni serious na post mnazotuma kuonesha ni kweli unahitaji huyo mtu?
Tips kabla hujatuma
Na mengineyo ya muhimu?
- Eleza sifa zako za nje na ndani zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia naona pia unamata.
- Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unae muhitaji na wewe pia umeainisha zako.
- Kama yupo JF pleeeeeeeeease m-PM mana hamna haja ya kutupa wote faida otherwise kama mnatualika harusi?
- Toa contacts walau e-mail address mana CM utakua umepalia makaa..
- Unapotuma thread onesha basi you mean it maana kama ni utani it is better ikiwa jukwaa la jokes?