baadhi ya waandishi na magazeti ya udaku wamekuwa wakitangaza baadhi ya watu maarufu katika swala zima la mapenzi na kuonyesha kwa kiasi kikubwa baadhi ya wapenzi wakitwangana mangumi na kuachana kabisa lakini cha kushangaza kabila moja hapa Tanzania kutwangana ni kasumba yao nao uhishi kwa miaka mingi wakitwangana mangumi kwa nini mapenzi ya vijana wa leo hayadumu wakati swla zima la kukolofishana baina ya wapenzi ni jambo la kawaida .