Wadau huu ni kurasa wa Great thinker let me Add with opinion, kwa pamoja sijui niite vipi au nisemeje natamani kuchangia kwenye MAISHA PLUSS, project naona changamoto zao kwa uasilia
Wadau na watanzania wate ni wajibu wetu, kujiuliza wajibu wetu nini, kwa amani, na nini maana ya amani . Watanzania tuonyeshe uzalendo kumuunga mkono mtz wenzetu kwenye michezo, nawasilisha
Wanaharakati wote na wote wanaokubali ukweli hata kama hawapendi watakubaliana na mimi kuwa yaliyotokea mbagala dar tanzania ni mambo ya kutengenezwa na baadhi ya watu kwa labda kwa uelewa wao mdogo au kwa imani ya tamaa fulani fulani. Kwani kwa watanzania wa leo huwezi kuniambia eti tukio lile...
Jamani kuna tetesi polisi wawili na raia wawili waliohisiwa au waliokua wanahusika na mtandao huo wameuawa na mmoja wao alizikwa jana, alikuwa anaishi opp. Na temeke hospital
Achana na mambo hayo, mdau kama hutaki kujua au kufahahamu ukweli, Maswali kwako ni Je umewahi kuwa mwana usalama? Na kama ndiyo ulijifunza nini kuhusu propganda,? Na kama bado huwezi kujiita mwanaharakati, naoomba ujiite muumini. Nawasilisha
ligi kuu bongo, kwani leo nilikuwa mahali naangali habari za michezo kupitia star tv, nilichoona ni kujitete kwa refa wa mtibwa kana kwamba hakuna mechi zilizoendelea.
I like that, because you realy promote our natural tourist point in our coutry HII NDIO TANZANIA YETU PAMOJA NA TOFAUTI ZETU ZA KII ITIKADI, KWA UZURI NA MEMA YA NCHI YETU TUTAYATANGAZA NA KUUBALIPOPOTE PALE TUTAKAPOONA INAHITAJIA KUFANYA HIVYO.
TANZANIA BILA MAFISADI INAWEZEKANA, ...
Samahani wana jamvi kama nitakuwa nimeingiza thread hii mahala ambapo siyo mahala pake, ila leo nilikuwa nimepanda daladala kukatokea mabishano yaliyo nishawisha mimi kwashirikisha ninyi tupate maoni.
Kuna mtu alisema kuna binadamu wanakufa kwa kujitakia, au kupenda wao, akitumia mfano m2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.