simu yangu imezingua baada ya jaribio la kuiroot haiwaki inaishia kwenye logo, naomba msaada mwenye contact za Fundi mzuri atakaye nitatulia hili tatizo, pia kama kuna fundi kwenye jukwaa hili unaweza kuni pm ili tuweze kuwasiliana.
Natanguliza shukrani.
Ndugu wana JF mada tajwa hapo juu inahusika, mtoto wangu ana zaidi ya mwaka sasa lakini hawezi kutambaa wala kutembea mwenyewe, alipotimiza mwaka mmoja kamili nilimpeleka hospitali ya rufaa, madaktari wakamchumnguza na kudai hana tatizo kwani viungo vyake vipo vizuri, pamoja na majibu hayo ya...
Naomba ufafanuzi kuhusu hili kutoka kwa wataalamu wa masuala ya uchumi. nimekuwa sipati majibu ya kuridhisha kuhusu hivi viwango vya kubadirisha fedha za kigeni. Mfano taarifa za vyombo vya Habari kama Star Tv na TBC wanaweza wakatoa viwago vya kubadirisha fedha za kigeni kuwa Dora moja inauzwa...
Wakuu kichwa cha habari cha husika, jiko lipi ni zuri kwa matumizi madogo ya gesi, kati ya jiko lenye plate Moja au jiko la 2 in 1 (double) mchango wako n muhim sana.
Karibu
Wadau natumia laptop aina ya Asus core i5 tatizo lake kubwa ni speed ndogo kwan inazidiwa hata na pc zenye dual core, window ninayotumia ni window 8 na Linux, ram ina 4gb lakini inaonesha ram iliyotumika n 3.7. Wataalamu nisaidien tatizo litakuwa nini hasa.
Kwa wenye taarifa kuhusu hili watujuze, vipi TRA wamesha anza kutumia sheria hii kama ilivyopendekezwa na waziri wa fedha? Mwenye kujua naomba anijuze.
ndug wana jf kuna gar ili haribu crank shaft, mafund wamehangaika nalo but bado hawajafanikiwa, nmeona niulizie wapi naweza pata injin mpya au used ilyokwene hali nzur pamoja na bei zake. naomba wenyekujua hlo wanisaidie
ndugu wadau, mwenye details nzuri kuhusu mifuko ya jamii hapa nchini, yaan mfuko wenye mafao mazuri kwa mchangiaji akiwa kazini na wakati wa kustaafu , upi mzuri kati ya NSSF,PSPF, LAPF NA MINGINE KAMA HIYO?.. wenye kujua tafadhari tunaomba tujuze
ndugu wana jf nadhan kwa wanaofuatilia kwa karibu nafasi za kaz znazo tangazwa na chombo hiki cha utumish wa ajira ni mashahidi kwa jinsi ajira hiz znzvyo chelewa yaani mchakato mzma hadi kuita watu kazin,,.. mfano ajira zaid ya 2000 zlizo tangazwa mwez may had sasa watu hawaja itwa kwene...
jaman hvi kutakuwa na fairness kwel kwa kila mkoa kufanya usail kwa applicant wa mkoa husika ? je utmish wataweza ku cover mikoa yote ya usail au ndo watu wa mikoa husika wta endesha usail bila watu kutoka utumishi?
tusio na wakutushka mikono si ndo yametkuta? anae jua tafadhar atufafanulie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.