chipalila1
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 259
- 31
ndugu wana jf nadhan kwa wanaofuatilia kwa karibu nafasi za kaz znazo tangazwa na chombo hiki cha utumish wa ajira ni mashahidi kwa jinsi ajira hiz znzvyo chelewa yaani mchakato mzma hadi kuita watu kazin,,.. mfano ajira zaid ya 2000 zlizo tangazwa mwez may had sasa watu hawaja itwa kwene usail.. hii n nn kama siyo kiini macho waonekane wana ajir kume siasa tu. kuna sababu gani za kiutendaj znazo sababisha mchakato uchukue muda mrefu kiasi hk.. mwenye kujua kuhusu hl atujuze wadau.