chipalila1
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 259
- 31
jaman hvi kutakuwa na fairness kwel kwa kila mkoa kufanya usail kwa applicant wa mkoa husika ? je utmish wataweza ku cover mikoa yote ya usail au ndo watu wa mikoa husika wta endesha usail bila watu kutoka utumishi?
tusio na wakutushka mikono si ndo yametkuta? anae jua tafadhar atufafanulie hili plz:crying::crying:
tusio na wakutushka mikono si ndo yametkuta? anae jua tafadhar atufafanulie hili plz:crying::crying: