Kaka naijua arusha kuliko unavyofikiri...ndio sikuwepo kwa muda ila nahakika mbele ya pesa nitapata kiwanja chakutosha tu kwa hiyo mil 5 unayoona ni ndogo..
Maeneo yote ya nje ya mji wa arusha are great, ikiwa maeneo ya arumeru its awesome pia ila isiwe tu maji ya chai. Apartment hiyo iwe na facilities kama maji na umeme, na iwe na 2 bedrooms na sebule, then jiko na toilets..iwe mahali secured. Natarajia kuhamia within this month. Kwa mwenye...
Kwa yeyote mwenye information juu ya upatikanaji wa kiwanja maeneo ya arusha ambalo naweza kufanya shamba hasa nje ya mji kidogo ila si maeneo ya kisongo au hiyo barabara ya arusha dodoma bali maeneo yote ya barabara ya arusha moshi kasoro tu maeneo ya maji ya chai. Wasiliana nami...
Wadau nimesikia kuwa kwenye gazeti la nipashe la tarehe 25/06/2012 ofisi ya mwanasheria mkuu imetoa makina ya watu waliofanikiwa kuitwa kwa usaili kupia maombi waliyotuma utumishi..je ni kweli taarifa hizi? Maana sikusoma nipashe la tarehe hiyo
Kiwanja hicho kiwe maeneo yenye ardhi nzur yenye maji na access ya umeme, maeneo ya makazi ya kuishi, pls wasiliana nami , ningepenelea maeneo ya kule chini moshono, ngaramtoni au popote pazuri
nahitaji kiwanja cha kununua kati ya sh, million 3 mpaka 5..kiwe maeneo yenye maji na umeme na maeneo ya kuishi.....pls wasiliana na mimi 0658-000-569 nahitaji kiwanja hicho mapema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.