Wadau nimesikia kuwa kwenye gazeti la nipashe la tarehe 25/06/2012 ofisi ya mwanasheria mkuu imetoa makina ya watu waliofanikiwa kuitwa kwa usaili kupia maombi waliyotuma utumishi..je ni kweli taarifa hizi? Maana sikusoma nipashe la tarehe hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.