Kuitwa kwa usaili kwa mawakili wa serikali ( state attorneys)

TheTruth

Member
Apr 1, 2012
29
3
Wadau nimesikia kuwa kwenye gazeti la nipashe la tarehe 25/06/2012 ofisi ya mwanasheria mkuu imetoa makina ya watu waliofanikiwa kuitwa kwa usaili kupia maombi waliyotuma utumishi..je ni kweli taarifa hizi? Maana sikusoma nipashe la tarehe hiyo
 
Back
Top Bottom