Habari wanajukwaa,
Kama una kiwanja Block 14 mabwepande na haujatembelea/haujakisafisha kwa mda wa mwezi au miezi miwili nyuma,basi tambua hauna chako,Kumezuka uvamizi wa viwanja vya halmashauri block 14 mabwepande project yaani wavamizi wamechukua viwanja "Kama Vyote" na kugawa vijipande vya...
Habari wanabodi,
Kichwa cha habari hapo juu chahusika,nahitaji nondo takribani 85 kwa mchanganuo wa 12mm idadi 60 na 16mm idadi 25,napatikana bahari beach near budget restaurant ,ledger plaza road .
Offer yangu 12mm nanunua kwa 15,000/= Tsh na 16mm nanunua kwa 25,000/= Tsh,kama unazo na...
Habari wadau wa MM,
Nauza Monitors za Dell 17" zipo nne.
-Kila Monitor ina VGA na Power Cables.
-Kila Monitor Nauza Tsh 40,000/=
Ukichukua Zote Nne Utanipa 150,000/=
Napatikana Njia panda ya kwenda Bahari Beach,Near Budget Hotel & Restaurants.
Habari wadau,
Kuna cement za aina ya rhino na lucky naziona sokoni zikiuzwa kwa 14,000/= na 14,500/= respectively.Je ni nzuri kwa kutumia kutengeneza matofali? Nipeni info kuhusu quality za cement hizo.
Hi JF, kuna mzigo mdogo nataka kutuma sumbawanga kwa kutumia bus la sumry nipeni mwongozo jinsi ya kufanya na je wanaaminika wale watu wa ofisini mwao ubungo?
Kuna bank flani hv nilikopa mshiko sasa nimelipa hadi nusu hivi, sasa nimeenda bank kuchukua letter of settlement cha kusikitisha ni kwamba wamenipiga fine zaidi ya 800, 000 nashangaa hyo fine ya nini wakati interest yao yote nimelipa? ebu wadau nifumueni hapo. Deni nalilipa lote pamoja na...
Hi Wanabodi,
Nahitaji chumba(master) na sebule vya kupanga,ningependelea k/nyama,mbezi beach,sinza,sala sala,makongo juu
Bajeti yangu:Kuanzia 70 mpaka 100,ila ikiwa 70 nitalipa miezi 6 kama 100 miezi 4,Kama unavyo PM tufanye makubaliano
Mwenye heka moja Kibaha aseme nije kununua kiwanja(kisiwe karibu na barabara,hapa naogopa bei) na kama shamba liwe na wakazi kidogo maeneo hayo lisiwe polini kabisa.
The 52 year old Grammy-award winning Senegalese singer has been appointed Senegal's new tourism and culture minister in President Macky Salls cabinet. He ran for president late last year, but was disqualified. So he jumped to the forefront of an opposition campaign to unseat the country's...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.