huwezi kupata nyumba maeneo hayo kwa 70000 hivi wewe umeishi bongo kweli au ulilkua unaishi tabora
Hi Wanabodi,
Nahitaji chumba(master) na sebule vya kupanga,ningependelea k/nyama,mbezi beach,sinza,sala sala,makongo juu
Bajeti yangu:Kuanzia 70 mpaka 100,ila ikiwa 70 nitalipa miezi 6 kama 100 miezi 4,Kama unavyo PM tufanye makubaliano