Nauza Modem za zantel kwa sh 15,000/=

Kibela

Member
Mar 21, 2012
58
10
Ni za CDMA,zina offer ya 3 days unlimited....Ni PM kwa maelezo zaidi,Speed Up to 3.1Mbps
 
Hiyo bei uliyoitaja ndio Bei halali Zantel Wametoa Punguzo za Modem zao zote Bei ya Zamani ilikuwa ni 25,000/= na Sasa bei itakayokuwepo madukani ni 15,000/= Usiuziwe zaidi ya bei hiyo.... na offer zao ni kama kawaida
 
Ni za CDMA,zina offer ya 3 days unlimited....Ni PM kwa maelezo zaidi,Speed Up to 3.1Mbps

Naomba sana sana nitumie private message ili unipe no. yako nikupigie maana labda umeona kutoa namba yako hapa si vyema
NAHITAJI MODEM YA ZANTEL
 
Hiyo bei uliyoitaja ndio Bei halali Zantel Wametoa Punguzo za Modem zao zote Bei ya Zamani ilikuwa ni 25,000/= na Sasa bei itakayokuwepo madukani ni 15,000/= Usiuziwe zaidi ya bei hiyo.... na offer zao ni kama kawaida

kumbeeeee
ushamharibia huyu nae maana badala ya kutuambia zinapunguzo amejidai ati zake yeye ndio bei poa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom