Ni za CDMA,zina offer ya 3 days unlimited....Ni PM kwa maelezo zaidi,Speed Up to 3.1Mbps
NI pm namba yako tuFanye biasharaNi za CDMA,zina offer ya 3 days unlimited....Ni PM kwa maelezo zaidi,Speed Up to 3.1Mbps
Hiyo bei uliyoitaja ndio Bei halali Zantel Wametoa Punguzo za Modem zao zote Bei ya Zamani ilikuwa ni 25,000/= na Sasa bei itakayokuwepo madukani ni 15,000/= Usiuziwe zaidi ya bei hiyo.... na offer zao ni kama kawaida
kumbeeeee
ushamharibia huyu nae maana badala ya kutuambia zinapunguzo amejidai ati zake yeye ndio bei poa
kumbeeeee
ushamharibia huyu nae maana badala ya kutuambia zinapunguzo amejidai ati zake yeye ndio bei poa