Jamani mwenzenu nusuru yanipate hapa Bongo. Nilikutana na dalali aliyekuwa ananiunganishia na muuza pikipiki maeneo ya Mikocheni. Alidai kuwa pikipiki atakayoniuzia ni mpya, nzuri na haijatumika sana, na bei yake ni sawa na bure na ina vibali vyote.
Nilikuwa na uhitaji nayo kwa kweli, hivyo...
Ni mtu mpuuzi tu anayeweza kumdharau mtu kama Tundu Lissu. Lissu kasema Serikali haijaaijiri walimu tangu 2014, hapo hapo serikali inaitupa bajeti ya Ndalichako na kaika hali ya kupaniki inatangaza kufungua dirisha la kuajiri walimu kwa maelfu. Katika hotuba ya waziri wa elimu, yeye aliahidi...
Michango ya NSSF ya Deogratius Mwanyika, aliyekuwa Rais wa migodi ya Pangea, North Mara Exploration na Bulyanhulu, imelazimika kutumika kulipa sehemu ya fidia ya makubaliano maalum kwa Serikali baada ya kukiri kufanya makosa ya uhujumu uchumi.
Fedha kiasi cha TSh bilioni 1, kilichotwa na...
Huyu msimamizi ana nyodo sana, jana kakataa kuwateua wagombea Udiwani wa Vyama vya Upinzani ikiwemo CHADEMA na ACT.
Anadai kuwa hawakulipa shilingi elfu 5 za ada ya kugombea wakati risiti wanazo na waliambatanisha.
Ikiwa imesalia chini ya saa 1 KWA AJILI YA RUFAA, bado hataki kutoa fomu ya...
Dunia haiishi vituko, safari hii ni huyu Afisa Mtendaji wa kijiji cha Endashang'weti kilichopo Wilayani ya Karatu anayefahamika kama Raymond Mwasha.
Akiwa hajui hili wala lile alifika Ofisini saa 3 hivi na kukuta pasipo kutarajia wagombea wa ujumbe wa Serikali ya kijiji na mgombea uenyekiti...
Wanasheria nisaidieni. Katika kesi ya wizi HAKIMU ANAWATIA HATIANI WASHTAKIWA HALAFU WANAJITETEA ILI KUPUNGUZIWA ADHABU. Mmoja akasema anaumwa vidonda vya tumbo, mwingine akasema anaumwa mkono na kifua. Baada ya hapo Halkimu Anasema HOJA HIZO NI NZITO MAHAKAMA HII HAINA UWEZO WA KUSIKILIZA...
Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro ametoa siku 3 kwa Maafisa tarafa na ma -WEO wote kuhakikisha wanawaweka lupango watu wote wanaokaidi kushusha bendera za CHADEMA wilayani humo.
Amesema mtendaji atakayekutwa kuna bendera inapepea katika kata yake atakuwa amejifuta kazi.
Amesema hayo leo...
Wandugu, Katiba inamtaka CAG kuipeleka bungeni Ripoti ya Ukaguzi yeye mwenyewe moja kwa moja endapo Rais atauchuna. Sasa akiogopa kuipeleka kwa sababu ya vitisho au azimio feki, basi wale wawindaji wake watapata kigezo cha kumshughulikia kwa kushindwa kufanya jambo analoamriwa na katiba na kwa...
Wengi wamejikita katika kitendo cha Maalim au CUF Taasisi kujiunga na ACT - Wazalendo na kusahau hukumu ya ajabu katika historia ya Tanzania. Ni kwamba, Jaji kasema kwa vile Msajili ana madaraka hata ya kukifuta chama, basi madaraka ya kuamua mambo ya ndani ya vyama anayo na kwa maana hiyo hiyo...
Hii ni kali. Simulizi za Mama mwenye nyumba kumpa matesp msichana wa kazi na hatimaye majirani kugundua na kuliripoti tukio kwa mamlaka za juu, hii lazima ulishawahi kuisikia na sio mara moja. Vyombo vya habari na mitandao ya kijamii imejaa visa hivi: Kumbe watu wa nje wakijua ukatili kwa nyumba...
Ikiwa ni siku ya kwanza kufunguliwa shule, wakaguzi wameanza kupita mashuleni kukagua kama shule zimenunua vitabu visivyo na ithibati. Kuna shule moja iliyoko maeneo ya Njiro wameambiwa wavikusanye.
Sasa sijui watavipeleka wapi. Mwalimu Mkuu ameomba waviweke maktaba kama vitabu vya ziada...
Ni zaidi ya wiki sasa sijasikia hata mmoja aliyetajwa na kuonekana kwenye zile video akiwa amekanusha kuwa yale maneno si yake au ile picha si yake. Hao watu wa pembeni wanaoonekana kusemasema wamewatuma wao ili kupima upepo au? kwanini wasijitokeze wazi hadharani wakanushe? Nasari dogo janja...
Uchaguzi huo ulifanyika juzi katika ukumbi wa Chama cha Msingi cha Wakulima Ukonongo, Inyonga wilayani Mlele, mgeni rasmi akiwa waziri mteule wa Wizara ya Maji, Mhandisi Izack Kamwelwe ambae ni Mbunge wa Jimbo la Katavi.
Awali katika hotuba yake ya ufunguzi wa mkutano huo, msimamizi wa uchaguzi...
Wadau swali ndio hilo, Waliojiuzulu udiwani kwa kuahidiwa ajira TRA, Maliasili na Halmashauri ya Arusha DC, baada ya mpango kufichuka, je wataajirika?
Jibu ni kuwa mamlaka hizo zikiwaajiri zitakuwa zimejidhalilisha kwamba huajiri watu kwa ushawishi wa wanasiasa na sio vigezo. Zitaonekana kuwa...
Kama mlivosikia kuwa bomba hilo la mafuta litagharimu sh. Trilioni zaidi ya 7
Zabuni za ujenzi zinatazamiwa kutangazwa mwishoni mwa mwaka huu na hivyo ujenzi wa bomba utaanza katikati ya 2018 na kukamilika katikati ya mwaka 2020. mradi unatazamiwa kudumu kwa miaka 25 hadi 30. mafuta...
Michango ya pesa walizotoa Wabunge ililipa rambirambi kwa ndugu wa walioangukiwa na mti. Hayo si maneno yangu bali ni kwa mujibu wa ripoti ambayo Mkuu wa Mkoa ameitoa (ipo humu itafute).
Maswali la kujiuliza;
1. Je, wabunge walikuwa wamelenga hivyo?
2. Baada ya mabadiliko hayo madogo (ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.