Mkuu Mshana Jr nipe uzi wa gar izi mbili nazipenda sana moja wapo nataka niinunue
Bmw 3 series Gt 2013 na Bmw 5 series Gt ya mwaka huo huo nichimbie uzi wa maana
hivi inawezekanaje hii, Gar hiyo GT inauza 18 ukiagiza mpk imefika dar na ushuru ikawa 15 then watu wa hapa hapa bongo yard zinauza 35 inamaana wanapata faida 1.5 kweli kaka au nimeelewa vibaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.