nilikua kituoni mwenge ghafla katokea trafik akamwita kondakta njoo alafu akaenda kwenye meza ya magazeti akachukua magazeti mawili akaondoka konda ndie mlipaji bila kupatana. je hii ni haki kweli?
nilikua nipo stand na msubiri rafiki yangu gafla akaja mlevi wa unga (Teja) na mtu mwengine kufika nilipokaa wakaanza kuulizana bei utanipa shilingi ngapi? jamaa akamjibu lakin yule teja hakuridhika na ile bei wakaendelea kubishana teja anasema ongeza pesa jamaa akawa anakataa mwisho teja...
Mkuu wa kikosi alikua anakagua kikosi chake jeshini. wanajesh wote walipanga mstar mbele na nyuma. afande john alikua mbele na afande robert alikua nyuma hawa huwa wanataniana. sasa afande robert aliona nguo ya afande john imeingia mat***oni, kwa msaada ili rafiki yake asiaibike afande robert...
Mshua mwenye iman za kishirikina alienda sumbawanga kuchukua waganga wa 3 waje kumfanyia mambo mipango yake ikae sawa
(katika gari binafs noah) kila mganga anatoa ujuz wake kwa mwenzie ndan ya gari wanapimana nguvu
Wa 1- akafanya mambo mvua kubwa ikawa inanyesha baada ya masaa 4 ikakata...
Msomi alikua anataka kuvuka mto kwa mtumbwi maongezi yao yalikua hivi-
Msomi-ndugu umesoma mpaka darasa la ngapi?
Mvushaji- darasa la 7
Msomi- umepoteza asilimia 20 ya maisha yako.
Msomi-umeshawahi kupanda ndege?
Mvushaji- hapana!
Msomi-umepoteza asilimia15 ya maisha yako.
kufika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.