Angalia pampu ya mafuta. Ijaribu ikiwa tambarare kwa kuweka hata tofali na kujaribu kulipanda. Iwapo itashindwa jua hio pampu imekufa. Nilipata tatizo hilo na nilitatua kwa jinsi hii.
Tatizo laweza kuwa VVti sensor. Ndio inayo control rpm kwa kubalance mafuta na hewa. Nilipata tatizo hili lakini nilitatua kwa kubadili vvti sensor kwa 50k only
Za mpira zipo scrambled mkuu ila haina shida maana nimetumia king'amuzi cha kwenye tv. Kwa sasa ndio nabadili kuweka kwenye qsat ili niwe nabadili audio format kwenye chanel ambazo hazina sauti
Nashukuru sana hasa BENNICK and darcity kwa msaada wenu hatimaye nimeinasa 57 kwa dish la dst*. Ntabadili baadae niweke dish la Azam kwa ajili ya kuongeza signal streght
Shukrani mkuu leo nipo off. Ngoja nikomae tu. Halafu uelekeo inaonesha kwenye azmuth ipo mbali kidogo na dst* nimejaribu kuangalia satfinder ya google map naona kama kwa hapa kwangu inabidi nizungushe sana kuelekea mashariki
BENNICK asante sana mkuu. Dish ninalotumia ni hili dogo la dst*. Ntapiga picha nikutumie bado nipo kwenye majukumu. Hata hivyo unabinua kwa juu au kwa chini? eneo ni Dar- Gomz
BENNICK na darcity Asanteni sana wadau maana wengine tunasoma na kujifunza. Nimejaribu kuitafuta nss 12 57e lakini sijafanikiwa. Natumia dish la ds** nikiscan nazipata radio tu pamoja na Addis tv nayo haioneshi. Nahisi nafeli kwenye elevation maana mie najua kuseach ds** tu. Hio hata ifanyeje...
Shukrani sana kwa kunitia moyo. Ntaleta mrejesho maana uliniambia ni kuelekea kulia ya hapo ilipo dstv bila kushuka wala kupanda.
Ngoja tumalizie hii mechi kwanza
darcity shukrani sana ila napenda mtu anisetie kwa sat finder ili signal ziwe juu.
Kama vipi nitakucheki dm .
Nashukuru sana mkuu hope hadi weekend ntakuwa nshashughulikia
Nimempa fundi mmoja hii task ila anasema hajajua ukubwa wa dish ili iweze kushika hio NSS 22 57 east. Kama unaweza dish la dstv linakamata naomba msaada. Ni hapa hapa Dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.