Habar wana Jf
Leo nimekuja kutoa ushuhuda jinsi nilivyopona vidonda vya tumbo kwa kutumia bamia narudia mara 2 ni kiboko ya vidonda vya tumbo.
Nimeteseka kwa muda sana nimetumia dose za gharama lakini sikufanikiwa kupona mpaka nikahisi narogwa nikaenda mpaka kienyeji sikupona nimekuja kuponea...
Habar ,
Kuna ndugu yangu anasoma Mechanical Engineering so ameniambia wanahitajika kuwa na laptop kulingana na course yao husika
Hivyo basi nimekuja kwenu kuuliza
Ni laptop aina ipi na yenye sifa zipi na ikiwezekana na bei yake kwa hapa Tanzania kwa Mwanafunzi wa Mechanical engineer...
In China, Coca-Cola will be sold as a sewage cleaner, and the Coca-Cola soft drink produced by the American Coca-Cola Company will be transferred according to the decision of the Chinese Central Committee for Food Quality into the category of sanitary liquids recommended for cleaning pipes...
In China, Coca-Cola will be sold as a sewage cleaner, and the Coca-Cola soft drink produced by the American Coca-Cola Company will be transferred according to the decision of the Chinese Central Committee for Food Quality into the category of sanitary liquids recommended for cleaning pipes...
Habar wana Jf
Kwa kipindi kirefu huwa naiwaza sana hii ndoto yangu na jinsi gani nitaweza kuifikia
Niende moja kwa moja kwenye mada bila kupoteza muda.
Mimi ni kijana wa kitanzania nina Bachelor degree ya Environmental Health Science na nimesajiriwa na baraza la maafisa Afya Tanzania
Baada...
Habar ndugu zangu wa Jf
Awali ya yote napenda kutoa shukran zangu za dhati kwa muanzilishi wa Jf kwani naburudika na naelimika kwa mada zinazotolewa humu.
Nisipoteze muda niende kwenye mada iliyonileta kwani kama kichwa cha habar kinavyosomeka " Nilivyonusurika kutapeliwa mtandaoni"
Ilikuwa...
Habar wana Jf,
Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa kuwepo hai hadi muda huu ninaoandika hii thread
Pia napenda kutoa shukran kwa Founder wa Jf kwani naburudika na naelimika kwa nyuzi mbalimbali zinazoandikwa .
Humu JF kuna tabia ambayo sio nzuri maarufu kama kufukua makaburi , kwa nini nasema sio...
Habar ndugu zangu
Mimi ni kijana wa kitanzania, nimekuja kwenu ndugu zangu ili nipate ajira iwe ya kudumu au mkataba .
Nina Bachelor Degree ya Environmental Health Sciences
Pia naweza kufanya kazi kama safety officer kwenye migodi, viwandani, na kwenye kila sekta ambayo imesajiliwa na OSHA...
HabarI wakuu,
Nimetokea kukipenda Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Leo siku nzima nimekaa nasikiliza nyimbo ya John Komba kama vile CCM mbele kwa mbele, sasa kumekucha na pisha njia.
Napenda nikiRi kwenu kwa akili zangu timamu naipenda CCM.
Habari JF,
Ili swali najiuliza sana utakuta mtu ana mihela mingi mpaka basi.
Jamani nauliza wenzetu mnapataje hela nyingi kiasi cha kutowaza kesho unakula nini.
Habar bwana DeepPond nimekutumia ujumbe kwenye PM yako kwan nahitaji kazi ili nipate hela ya kula
Kupitia biashara zako unaweza kunisaidia kwa kunipa kazi
DeepPond
DeepPond
Miaka yangu ni 37
Naishi mkoa wa Dar
Kazi yangu kwa sasa AFISA WA BANK ( jina kapuni
Miaka kuanzia 25 kuja juu chini ya 25 usije Dm
Awe na mtoto kama huna mtoto usije coz mimi nina watoto
Awe muwazi na mkweli
Mwenye kuheshimu kila mtu
Elimu yoyote
Awe na nia ya kweli kuanza maisha na mimi
Dini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.