HSE Officer
JF-Expert Member
- Apr 10, 2023
- 651
- 844
Habar wana Jf
Kwa kipindi kirefu huwa naiwaza sana hii ndoto yangu na jinsi gani nitaweza kuifikia
Niende moja kwa moja kwenye mada bila kupoteza muda.
Mimi ni kijana wa kitanzania nina Bachelor degree ya Environmental Health Science na nimesajiriwa na baraza la maafisa Afya Tanzania
Baada ya kumaliza chuo nikasoma course mbali mbali ikiwemo National Occupational Health and Safety Course 1 and 2 , pia nimehudhuria Training mbalimbali.
Nimefanya kazi kwenye kampuni mbali mbali kama HSE OFFICER, QSHE Officer , HSE coordinator.
Sasa hivi nafanya kazi kama HSE OFFICER kwenye kampuni binafsi
Ndoto yangu natamani niwe consultant yaani HSE CONSULTANT kwenye masuala ya safety kwa ujumla yaani niwe natambulika Tanzania nzima ikiwezekana Duniani .
Naomba niulize kwenu je naweza kufanikisha hii ndoto yangu ilihali sina hela
Je nawezaje kutimiza ndoto yangu wana jukwaa
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Kwa kipindi kirefu huwa naiwaza sana hii ndoto yangu na jinsi gani nitaweza kuifikia
Niende moja kwa moja kwenye mada bila kupoteza muda.
Mimi ni kijana wa kitanzania nina Bachelor degree ya Environmental Health Science na nimesajiriwa na baraza la maafisa Afya Tanzania
Baada ya kumaliza chuo nikasoma course mbali mbali ikiwemo National Occupational Health and Safety Course 1 and 2 , pia nimehudhuria Training mbalimbali.
Nimefanya kazi kwenye kampuni mbali mbali kama HSE OFFICER, QSHE Officer , HSE coordinator.
Sasa hivi nafanya kazi kama HSE OFFICER kwenye kampuni binafsi
Ndoto yangu natamani niwe consultant yaani HSE CONSULTANT kwenye masuala ya safety kwa ujumla yaani niwe natambulika Tanzania nzima ikiwezekana Duniani .
Naomba niulize kwenu je naweza kufanikisha hii ndoto yangu ilihali sina hela
Je nawezaje kutimiza ndoto yangu wana jukwaa
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app