Wana JF, ninaomba kuelimishwa kuhusu uwepo wa baraza KIVULI ktk bunge la Tanzania. Kila waziri husika ktk wizara fulani, hufuata hotuba/bajeti ya waziri kivuli na mipango yako. Hawa watu wana kazi gani? Nini maana, umuhimu na kazi ya bajeti ya kambi ya upinzani? Je, hutekelezwaje? Msaada tafadhali
Wana JF, naomba kuelimishwa umuhimu, kazi na maana ya hotuba za kambi rasmi ya upinzani. Kila baada ya waziri husika kusoma hotuba/bajeti ya wizara yake, waziri KIVULI naye husoma hotuba yake. Hawa watu wana kazi gani? Bajeti zao zina maana gani? Je hutekelezwaje? Naomba kuelimishwa hapo.
Kwamba wanaume wanahitaji kuagana na wake zao kwa tendo la ndoa ndani ya masaa sita baada ya mke kufariki! imekaaje hii?
Mwanamke akihitaji haki hiyo itakuwaje?
Baada ya kutoa matokeo sasa ndo nimeelewa kigugumizi cha serikali kuyatoa huku watoto wake zaidi ya nusu hawakufikisha 30!! Sijui kutatokea miujiza gani ili 2012 washindwe wachache wastani uzingatiwe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.