Mademu wa hv mara nyingi huwa wanakuaga wabovu sana,binafsi nilikuaga na wa hivi ila siku moja nilimkazia sikutaka kumuelewa, ile namvua sidiria tu maziwa yanaporomoka kama mawe ya mgodini, ile kuingiza mashine kwenye papuchi tu daaah nilichoka......
Ikiwa mwanamke anaweza kumsahau mtoto wake anyonyae hata asimuhurumie, je, wewe ni nani mpaka asikugeuke, wanaume tunapoambiwa tuishi na wanawake kwa akili nyingi basi tuangalie ni nani muasisi wa maarifa yenye akili nyingi?
Visa vingi vya watu kuua na kujiua kisa mahusiano vingeepukika ikiwa...
MREJESHO,
nilimkalia kimya siku 3 sipokei simu wala kujibu txt zake mwenyewe akavzia mda ambao nakuaga geto basi akaja akakuomba msamaha,nikampa matakwa yangu upya akakabaliana nayo na papuchi amenipa bila shida, ndani ya siku tatu nimemtafuna mara mbili alafu nikajifanya nipo bize na mambo...
Mkuu huu uchumba unajulikana hadi kanisani shida anahairisha mipango ya harusi bila sababu za mcngi wakat yy ndie aliesema nimuoe hata sasa ili tusizini,
Mkuu wote tunaabudu pamoja na niliwahi kutishia kumuacha kisa tabia ya kupeleka mbele mipango ya harusi bila sababu za msingi akaitisha kikao kanisani tukayaongea yakaisha kua harusi ifanywe mwakani mwezi wa 8...sasa juzi anakuja niambia et ana mambo yake nimsubiri ad mwaka keshokutwa mm...
[emoji23][emoji23]saikolojia ya hawa viumbe hatuwezi ielewa mkuu, hapa tunashauriana kama njia yakupata mawazo mapya kulingana na experience za wadau mbalimbali, kuhusu maamuzi ni jukumu langu mwenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.