Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,978
- 5,295
Nawasalimia!
Nimeogopa na kutishika sana kila nisomapo baadhi ya ripoti za mashirika ya kiserikali na yale yasiyo ya kiserikali kuhusu vifo vya mabinti wakati wa kujifungua kutokana na udogo wa mlango wa kizazi.
Hofu hii imesababisha niagize projector na kununua 'flash chip' maalumu kwa ajili ya kuhifadhi 'clips' za mabinti wakisimulia mikasa waliyopata ama kunusurika kwa sababu ya kushiriki ngono katika umri mdogo.
Sambamba na hili, nitahifadhi mikanda ya madhara ya ngono kinyume na maumbile, usagaji na ushoga pia.
Nitazigawanya 'clips', baadhi zitaangaliwa na vijana wangu wa kiume tu, na baadhi zitaangaliwa na mabinti zangu tu. Na ni mama yao atatakiwa kuwa mwalimu kwenye 'sessions' hizo(kwa upande wa mabinti).
NB: Natoa taarifa pia kama kutakuwa na mwenye nyongeza yoyote juu ya hili, anaweza kuchangia pia. Maneno ndani ya funga semi si rasmi.
Nimeogopa na kutishika sana kila nisomapo baadhi ya ripoti za mashirika ya kiserikali na yale yasiyo ya kiserikali kuhusu vifo vya mabinti wakati wa kujifungua kutokana na udogo wa mlango wa kizazi.
Hofu hii imesababisha niagize projector na kununua 'flash chip' maalumu kwa ajili ya kuhifadhi 'clips' za mabinti wakisimulia mikasa waliyopata ama kunusurika kwa sababu ya kushiriki ngono katika umri mdogo.
Sambamba na hili, nitahifadhi mikanda ya madhara ya ngono kinyume na maumbile, usagaji na ushoga pia.
Nitazigawanya 'clips', baadhi zitaangaliwa na vijana wangu wa kiume tu, na baadhi zitaangaliwa na mabinti zangu tu. Na ni mama yao atatakiwa kuwa mwalimu kwenye 'sessions' hizo(kwa upande wa mabinti).
NB: Natoa taarifa pia kama kutakuwa na mwenye nyongeza yoyote juu ya hili, anaweza kuchangia pia. Maneno ndani ya funga semi si rasmi.