Yaani nimekuwa maeneo kadhaa ya nchi kwa wiki hii toka Arusha Tanga Mpaka Mbeya umeme ni shida baadhi ya maeneo wanakata asubuhi mpaka saa tano usiku, na hio ni ratiba ya kila siku hawana Jumapili, Jumamosi, wala Ijumaa na kibaya kuliko vyote ni waongo kama kuna mgao waseme ili wagawe kwa ratiba...
Jana niliona kwenye mitandao ya kijamii wananchi wakilalamika kuchukuliwa eneo lao na Taasisi ya Kilimo Uyole. nilipofuatilia hili suala ni kwamba lilishafanyiwa maamuzi miaka mitatu iliyopita na waziri wa Ardhi wa kipindi hicho Mh Lukuvi kwa kuwarudishia wananchi hekari zao 67 ambazo kilimo...
A series tunanunua kwa ajili ya kukaa mbali na tecno, hatuna hela ya s series, Samsung(kukukuku tu jogoo jina), pia ni kwamba hiyo simu yako umepigwa kusema ukweli sifa unazotutajia Aseries zetu hazina zipo poa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.