Serikali yetu ya ajabu sana, tumekuwa na usemi wa INTELIGENCY hasa pale chadema inapopanga kufanya mikutano na kutumia neno hilo kuwa wamepata taafifa za kiintelijensia kuwa panaweza kutokea maafa, inamaana katika hili intelijensia huwa inalala? na mbona hamna bidii zozote zinazofanywa kwa...
Mkuu
kwanza heshima kwako na nakili nimeelimika sana kupitia post yako, umeeleza kitaalam na inaonyesha unajua haya maswala ya kichunguzi,binafsi nimesisimka na kumbaini nani mhusika wa tukio la arusha. Deeemn !!! Hawa watawala wanataka kutawalq maisha? Ila nadhqni hof ni ikiwa wataacha...
Inasikitisha sana kuona usumbufu huu kwani mi pia imenichukua miezi saba mpaka nane kupata card mpya yani smartcard, mpaka nilivogomba sana ndio kaka mmoja akaamua kuprint, otherwise kila ukienda kabla hata hajakusikiliza vizuri anakupiga tarehe mwei au miezi miwili, hapa ubungo kuna dada...
Duuu aisee nimecheka mpaka mbavu zimeniuma yani kwa akili yao wanadhani chadema imehit kwajili ya combat sasa wanajaribu kuigaiga sale inayoendana na gwanda matokeo yake wanaharibu kama ivo, duu yani jamaa ametisha ndo kwanza anaonekana kama galasa tu, na watambue kwamba gwanda si vazi lao na...
Wadau,
tangu NSSF imeagiza kubadilisha card za zamani kubadilishwa na kuwa smartcard, nimekuwa nafatilia smart card tangu mwezi wa october 2012, nikienda naambiwa nenda kwa mwajiri wako, nikienda kuuliza kwa mwajiri naambiwa haikuletwa.
niliamua kuvalia njuga ufatiliaji hasa baada ya kuacha...
Huyu jamaa amepanic ndomana anatapatapa, yeye alikuwa wa kwanza kupata hiyo CD sasa anapata shida gani kutoa ushaid bila kupanic? let him cool down ukweli utajulikana at the end, hof ni jinsi makinda anavo handle mjadala yani jamaa ameruhusiwa kuporomosha yote yaliyo moyoni mwake, akisimama wa...
Hata ivo inaonekana kabisa kuwa kuna mpango wa kumuinua kinana mpaka kuwa mgombea wa uraisi, hicho ndo nakiona. na lengo ni ku kupunguzw moto wa mh. lowasa. anaebisaha aseme hapw
Kwanini CCM imekuwa ikitumia Jeshi la polisi kama 'bullet proof jacket' Panapotokea mauaji yanayoigusa moja kwa moja CCM (mtawala) na kufanya dhana nzima ya amani kuonekana imehodhiwa na CCM kama chama tawala?
Na nashangaa kuona CCM imekuwa ikiimba sana kuwa mtunza amani wakati ndio wamekuwa...
duuuuu jamani kweli mungu si athman,
the fate of stupid leadership is almost at the end sasa walio mkosakosa nadhani watakuwa wamesha fungasha vilago mahali pao pa kazi ama wamehamishwa vituo vya kazi. Binafsi Namshukuru M.Mungu kwa kuwaonyesha hawa mafeduri kuwa kama mtu siku zake hazijafika...
Wadau habari zenu,pengine kwa kutofahamu nimekuwa na hisia fulani juu ya gazeti liitwalo mitaa yetu, leo imekuwa mara ya pili kuna mtu amekuwa akigawa gazeti hilo maofisini,siku ya kwanza nilishindwa kumhoji japo kidogo, leo tena kaingia kwa haraka na kutoka huku akiacha gazeti hilo na mara...
Jamani kama mwanachama wa chadema na mwenye mapenzi mema na chadema,nimemsikiliza shibuda akihojiwa na radio one katika kipindi cha nipashe asubuhi na nimeamini kweli ana kusudia kugombea urais,pamona na lengo lake nimemsikia akiwa na mtazamo wa kukikandia chama et ni cha kidictator na ukabila...
Wakuu, leo mida ya saa tisa nilikuwa mitaa ya kisutu,wakati na nunua vocha mara jamaa akajitokeza na kusema aaa masikini!!! amefarik??, muuza vocha akadakia akishangilia akiuliza, jk? jamaa akasema sioo!!da muuza vocha alikasirika alitaman afe tuchague mwingine et amechoshwa na mambo yake...
We have been praying for CDM success in Arumeru & God liestened to the voice of the poor people. For any who knows the CDM account please forward it to me so that i can contribute a little i have for my part. PEOPLEEEEEEEEEEEEEEEESSSSS
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.