SILENT GUNNER
Member
- Jan 23, 2012
- 22
- 9
Jamani kama mwanachama wa chadema na mwenye mapenzi mema na chadema,nimemsikiliza shibuda akihojiwa na radio one katika kipindi cha nipashe asubuhi na nimeamini kweli ana kusudia kugombea urais,pamona na lengo lake nimemsikia akiwa na mtazamo wa kukikandia chama et ni cha kidictator na ukabila. jamani hamna namna ya kuliengua hili gamba? najisikia hasira nikikumbuka uwepo wa jitu kama hili chadema. Anawezaje kulala chadema kula ccm? na kwann aombe msaada jk amsaidie kama sio jitu lililotumwa na magamba? Lets he careful kupokea mtu na kumpa madaraka