SILENT GUNNER
Member
- Jan 23, 2012
- 22
- 9
Wakuu, leo mida ya saa tisa nilikuwa mitaa ya kisutu,wakati na nunua vocha mara jamaa akajitokeza na kusema aaa masikini!!! amefarik??, muuza vocha akadakia akishangilia akiuliza, jk? jamaa akasema sioo!!da muuza vocha alikasirika alitaman afe tuchague mwingine et amechoshwa na mambo yake yooote. ndipo hapo nikapima ni kwa kiasi gani sasa mkuu wa kaya hapendwi kabisa kiasi cha kuombewa kifo na mtu wa chini kabisa.
hayo nimesikia dialog ya watu sina source nyingine.
hayo nimesikia dialog ya watu sina source nyingine.