Mimi nimewaza sana juu ya mizimu,majini na mazombi katika kuabudu.
Ni wazi Waafrika kabla ya waarabu tulikuwa na Mizimu walipofika waarabu wakafika na majini kupitia uislam na walipofika wazungu wakafika na mazombi i.e Yesu.
Hivi hapo kuna tofauti gani inayotufanya Waafrika tuache kuabudu...
Ndiyo kwa kuvuta kiasi mara moja kwa wiki na nimetoka muhimbili jana klinik wameshangaa baada ya vipimo kuonyesha mafanikio.
Nilisimbuliwa sana na pressure ya kushuka kwa muda mrefu iliyosababishwa na portal hypertension iliyopelekea mishipa kupasuka na damu kuvujia tumboni hatimae kutapika na...
Unachofanya ni ubabe kwani kama dereva kakimbia speed 87 ulipaswa kumchukulia hatua siyo kulishikiria basi pasipo kuangalia upande wa pili wa abiria.
Askari uliyemuagiza akamate gari amejaribu kukushauri walipe faini ili waendelee na safari bali umekataa na baada ya muda ndiyo unasema dereva...
Ndiyo maana nakwambia wewe ni mjinga zaidi yangu unawaamini na kuwanuenyekra ngozi nyeupe i.e waarabu na wazungu,hivi kwakuwa wazungu wapo waislam ndiyo kunakufanya uwe muislam?
Soma hiyo najua huwezi kumuamini Mwafrika kama unavyo waamini waume zako wazungu na warabu!!
Wewe ni jinga hiyo biblia unayoiamini imeganyiwa utafiti na Mwafrika au Mzungu?Hiyo elimu unayoiamini iliandaliwa na Mzungu au Mwafrika?nimekuletea tafiti za mabwana zako kwani najua ndizo unazoamini na ukitaka tafiti za Afrocentric view naweza kukupatia pia ingawa najua huwezi kuziamini kwa...
Hao unaowataja wanatuhusu nini sisi au wamelifanyia nini Taifa hili?? Hata wangekuwepo wangekuwa na impact gani hasa iwapo waliopo kama wai ni wanafiki?
Huo ndiyo upumbavu wenu Waafrika hivi hizo hela angeamua kusafiria kwenda kula bata nje mngemfanya nini?Ebu kachue na wewe serikalini hela ujenge hata 1km ya lami kijijini kwa babu uako.
Mnapenda kulalama juu ya kusema hela ya serikali ni ya Rais utadhani mnauwezo wa kuzigusa hata Tsh.1 kwa...
Kama unaakili huwezi kuniuliza tena ujinga wako tena,kuwa mtafiti na tafakari kabla hujafa.
Haya nimekusaidia dini ya Waafrika ni hiyo na wameandika wazungu wako kwa utafiti wao ila kwa kuwa umemezeshwa limbwata na wazungu hata haya utapinga,kosa mali upate akili mzee!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.