Jokate Mwegelo kubeba mimba bila ndoa katika Utumishi inatoa taswira gani kwa unaowaongoza?

Inawezekana siyo sheria lkn kiustaraabu siyo vizuri kabisa. Kupata mimba bila mume kwa Afrika yetu na kidini ni chukizo. Tunaomba viongozi tuwe na haiba. Jamii inamchukuliaje sasa?
Wewe unajuaje Kama hana mume na hajafunga ndoa?
 
Hakuna kumungunya maneno hatuwezi kuendelea kuongozwa na Kiongozi asiye na maadili ya utumishi, anayetarijiwa Kupata mtoto nje ya ndoa, atawashauri nini na kuwafundisha nini mabinti zetu mashuleni, ambao wengi wao wanamchukulia kama role model wao.

Jamii na Watumishi wenzake anaowasimamia watamchukuliaje?, Kiujumla tayari kapoteza sifa za kuendelea kushika wadhifa huo.

Mh. Rais tuletee DC mwingine Temeke mwenye maadili ya utumishi.

#Rais teua DC mwingine Temeke
Wewe unajuaje Kama hana mume na hajafunga ndoa?
 
So far ni maamuzi yake
So zile nyepesi nyepesi ni kweli
Hongera kwake

Ila mwamba katuwakikisha vema
 
Niliwahi kusikia Mzee Wake ni Mchungaji.... !
Kama ni hivyo anamuaibisha.. Akamatwe afungishwe ndoa Na huyo aliyempachika Mimba..! Kwa Shuruti.

Mtaani tunaita ndoa mkeka.
Acha uongo..
Hayati Mzee Ndunguru hakuwahi kuwa mchungaji Bali muumini wa katoliki
 
Nadhani hayo ni maisha yake personal.....Hata akibeba mimba bila kuolewa haiingiliani na serikali
 
Katika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza.

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mh. Jokate Mwegelo kwa sasa ana mimba na anatarajiwa kupata Mtoto, lakini kitu cha kushangaa haijulikani kama ana mume au ameolewa jambo ambalo katika maadili ya utumishi linamshusha hadhi.

Mtumishi wa serikali anayetumikia nafasi kama hii kuzaa bila ndoa haileti mantiki kwani wananchi unaowaongoza wanaweza kudhani Kiongozi wao unaruka ruka hovyo na wanaume na hivyo kukushusha hadhi.

Taasisi za dini kama katoliki, mtumishi wao tofauti na watawa ukizaa bila kuolewa tena ndoa unafukuzwa kazi, kwa sababu wanaamini utaleta uzinifu kwenye taasisi yao.

Watumishi wa serikali wenye vyeo vya juu kiutumishi hakikisheni mnafunga ndoa, ili kuleta heshima kwa mnaowaongoza.


View attachment 2290818
Safi sana naona wanaume wanaendelea kutekeleza makubalia o yetu ya kikao kwamba; no kuoa ni kugegeda na kutia mimba tuu🤣🤣🤣🤣
 
Hii inakuhusu nini? kwahyo km ni kiongozi hatakiwi kuwa na maisha yake binafsi? Tuache sumu nakufatilia maisha ya watu.
 
Nadhani swala la ndoa, mahusiano, ujauzito, uzazi, watoto, ni la kibinafsi zaidi ndugu mleta mada.
Mkuu pendaeli ubinafsi hapo upo wapi wakati tendo hilo linaonekana hadharani na
halina baraka ya Mwenyezi Mungu na wewe ni kioo cha JAMII
 
Back
Top Bottom