Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,948
- 5,349
Wewe unajuaje Kama hana mume na hajafunga ndoa?Inawezekana siyo sheria lkn kiustaraabu siyo vizuri kabisa. Kupata mimba bila mume kwa Afrika yetu na kidini ni chukizo. Tunaomba viongozi tuwe na haiba. Jamii inamchukuliaje sasa?