Bushesha jr
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 677
- 690
Wew mpuuzi kazi ya uongozi ni nini kwa akili yakoMagufuli hizo hela alitoa wapi?
Yaani pesa za walipa kodi na alizokua anakwapua kwenye account za watu akiwadanganya ni fedha zetu za ndani ndio mnatamba?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app