Wakristo na Waislamu ni watu waliopotea njia hasa kwa Afrika, kiufupi hawajielewi

Unapozungumzia uislam kuletwa Africa kuna historia ambayo unatakiwa kuijua yani ipo ivi kipindi Muhamad anawaambia watu wake kua yeye ni mtume imeshushwa kwake quran watu wa makkah walimpinga nakumpiga vita kwasababu walikua wakiabudu mizimu na masanam nakufata mila za babu zao kama ilivokua Africa yani utu haukuwepo kabisa mpaka watoto wa kike wakizaliwa walikua wanazikwa wazima na mambo mengine kibao ya ajabu ambayo ni sawa tu na yaliyokua yakifanyika Africa ambayo ukiambiwa leo hii ufanye huwezi kwa akili ya kawaida..

Muhammad akafukuzwa katika mji aliozaliwa kwasababu kaleta dini mpya na usilolijua ni kwamba kipindi icho icho aliwatuma watu wake Africa na ushahidi upo kua inawezekana uislam ulitangulia Africa kabla ya Madina na maeneo ni kama kilwa kwa east africa, Ethiopia, moroco n.k

Kwaiyo uislam haukua tamaduni za waarabu bali hata waarabu ulikua mgeni kwao na nikipindi icho icho unaingia bongo na ukristo sio tamaduni za kimagharibi umeandika vitu bila ufahamu wowote inamaana we ni faller mmoja na tamaduni za kiafrica zilizokuepo zamani hazikua fair hata kidogo kwa maisha ya binadamu
Uko sahihi sana
 
Unapozungumzia uislam kuletwa Africa kuna historia ambayo unatakiwa kuijua yani ipo ivi kipindi Muhamad anawaambia watu wake kua yeye ni mtume imeshushwa kwake quran watu wa makkah walimpinga nakumpiga vita kwasababu walikua wakiabudu mizimu na masanam nakufata mila za babu zao kama ilivokua Africa yani utu haukuwepo kabisa mpaka watoto wa kike wakizaliwa walikua wanazikwa wazima na mambo mengine kibao ya ajabu ambayo ni sawa tu na yaliyokua yakifanyika Africa ambayo ukiambiwa leo hii ufanye huwezi kwa akili ya kawaida..

Muhammad akafukuzwa katika mji aliozaliwa kwasababu kaleta dini mpya na usilolijua ni kwamba kipindi icho icho aliwatuma watu wake Africa na ushahidi upo kua inawezekana uislam ulitangulia Africa kabla ya Madina na maeneo ni kama kilwa kwa east africa, Ethiopia, moroco n.k

Kwaiyo uislam haukua tamaduni za waarabu bali hata waarabu ulikua mgeni kwao na nikipindi icho icho unaingia bongo na ukristo sio tamaduni za kimagharibi umeandika vitu bila ufahamu wowote inamaana we ni faller mmoja na tamaduni za kiafrica zilizokuepo zamani hazikua fair hata kidogo kwa maisha ya binadamu
Atakuwa kiongozi wa matambiko huko kwao.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Unapozungumzia uislam kuletwa Africa kuna historia ambayo unatakiwa kuijua yani ipo ivi kipindi Muhamad anawaambia watu wake kua yeye ni mtume imeshushwa kwake quran watu wa makkah walimpinga nakumpiga vita kwasababu walikua wakiabudu mizimu na masanam nakufata mila za babu zao kama ilivokua Africa yani utu haukuwepo kabisa mpaka watoto wa kike wakizaliwa walikua wanazikwa wazima na mambo mengine kibao ya ajabu ambayo ni sawa tu na yaliyokua yakifanyika Africa ambayo ukiambiwa leo hii ufanye huwezi kwa akili ya kawaida..

Muhammad akafukuzwa katika mji aliozaliwa kwasababu kaleta dini mpya na usilolijua ni kwamba kipindi icho icho aliwatuma watu wake Africa na ushahidi upo kua inawezekana uislam ulitangulia Africa kabla ya Madina na maeneo ni kama kilwa kwa east africa, Ethiopia, moroco n.k

Kwaiyo uislam haukua tamaduni za waarabu bali hata waarabu ulikua mgeni kwao na nikipindi icho icho unaingia bongo na ukristo sio tamaduni za kimagharibi umeandika vitu bila ufahamu wowote inamaana we ni faller mmoja na tamaduni za kiafrica zilizokuepo zamani hazikua fair hata kidogo kwa maisha ya binadamu
Dah kumbe
 
Nani alitudanganya kuacha majina ya asili , watu weusi nahisi vichwani kuna shida kama sio problem.Ila dini ni shida sana, inafanya mtu kama zezeta
Haikuwa kwa kudanganywa tu, Vitisho na hata Mauaji yalitumika na yanaendelea kutumika kutuvisha hayo makoti ya Upambavu wao.

Jambo jema ni kuwa, Nyakati zao zinafika mwisho.
 
Ukristo ni tamaduni za kimagharibi huku uislamu ni tamaduni za mashariki ya mbali.

Ukitaka kumtawala mtu kwanza hakikisha unampandikizia mila na desturi zako na aachane na za kwake.

Mwarabu alisafiri kuleta utamaduni wake wa kiarabu akaja na kitabu chenye vitisho vingi na hadithi za hapa na pale na Mzungu akatimba na kitabu chake cha biblia chenye hadithi za hapa na pale yaani waliohadithiwa kwenye hivo vitabu ni watu wa huko huko kwao kama ambavyo tungeweza kuhadithia story za kalimanzira au rugambwa au nyoni au mti mkavu yaani story zao tuzipeleke mbali tuseme ni maandiko hayo,

Waafrika tulikua na mila, desturi na tamaduni zetu na mifumo yetu ya maisha hao jamaa ili watutawale wakaharibu kila kitu.

Mababu zetu walipo wakiibuka leo wakakuta kuna watu wanaitwa akina joseph, shabani, Ali, mussa watasikitika sana,

Inamaana Muumba aliona aanzie kwa hao jamaa halafu wao ndio watuletee dini ilihali tunaelezwa binadamu wote tuko sawa mbele za macho ya Muumba?

Hapana lazima tuanze kufikiri upya kuna kitu hakiko sawa hata kidogo.
kwa ufupi wewe unaamini hakuna mungu,sema unazunguka tu kuwasilisha hoja yako.
 
IMG_0116.jpg
 
Unatakiwa ulete hoja kuwa mifumo ya maisha

hususan din za mababu ni bora kuliko din zilizoletwa

na sio vinginevyo.
 
Kazi kweli yani hata kutafasiri huwezi sasa wewe ni mzima kweli?kinachotakiwa hapo ni maana au lugha iliyotumika?jinga kweli wewe
Sijataka tafsiri we kichaa,nimekuuliza dini ya Babu yako ilikuwa inaitwaje? Unaniletea majibu ya kilevi hapa? Dini hizo mnazoziona zimeletwa na waarabu/wazungu zina majina.
 
Sijataka tafsiri we kichaa,nimekuuliza dini ya Babu yako ilikuwa inaitwaje? Unaniletea majibu ya kilevi hapa? Dini hizo mnazoziona zimeletwa na waarabu/wazungu zina majina.
Kama unaakili huwezi kuniuliza tena ujinga wako tena,kuwa mtafiti na tafakari kabla hujafa.

Haya nimekusaidia dini ya Waafrika ni hiyo na wameandika wazungu wako kwa utafiti wao ila kwa kuwa umemezeshwa limbwata na wazungu hata haya utapinga,kosa mali upate akili mzee!!View attachment 2274766
2022_06_27_20.54.10.jpg
2022_06_27_20.54.10.jpg
JamiiForums1349621770.jpg
 
Kama unaakili huwezi kuniuliza tena ujinga wako tena,kuwa mtafiti na tafakari kabla hujafa.

Haya nimekusaidia dini ya Waafrika ni hiyo na wameandika wazungu wako kwa utafiti wao ila kwa kuwa umemezeshwa limbwata na wazungu hata haya utapinga,kosa mali upate akili mzee!!View attachment 2274766View attachment 2274767View attachment 2274769View attachment 2274770
Hivi wewe unaelewa kinachozungumzwa? Fanya utafiti wako useme hapa waafrika wenyewe walikuwa wanaiitaje dini yao? Wewe si una Babu zako huko kwenu? Waulize wazee wakuambie sio unakuja na utafiti wa wazungu halafu unajiita msomi,msomi uchwara. Hata utafiti huu unataka ufanyiwe na mzungu na wazungu hao hao hauwaamini? Nikusaidie tu dini za mababu zako hazikuwa zinajulikana Kwa majina. Babu zako walifeli katika hilo, kwahiyo hoja Yao ya dini ilikosa mashiko kwetu kuanzia kwenye jina la dini Yao na kile wanachokiabudu.
 
Ili nikuelewe lazima uweke picha yako umepiga umevaa ngozi umeziba pale mbele huku matako yako yakiwa nje.
Halafu hata huo ujanja wa kuandika hapa umeutoa wapi. Ungekuwa mkweli nadhani hata kuandika na kusoma kwako wewe ni kuiga wazungu kwasababu mababu zako elimu Yao ilikuwa Ile ya jando na unyago tu.
Jifunze kuwa na msimamo kabla haujajenga hoja.
Kwani wapi kasema hakubaliani na Elimu au maarifa haya. Hoja yake ni dini tuu. Kwani vidole vyote vinafanana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom