Samahani wakuu, naomba msaada wenu tafadhali. Nina tatizo ambalo nahisi mwana JF CAMARADERIE angeweza kunisaidia. NimemPM jana asubuhi lakini hakuna response nina mashaka hajaingia JF since then.
Kama kuna mtu ana mawasiliano ya simu yake tafadhali anisaidie kumwambia ninamtafuta kwa haraka. In...
Huu mchezo wa kupenda kupiga domo kwenye vyombo vya habari unaofanywa na mabondia wa hapa nyumbani pindi wanapoomba pambano na dume la milima ya Uluguru utaisha lini?
Jana, Karama Nyilawila amepata zawadi ya kuropoka baada ya kukong'otwa TKO ya round ya 6 katkia pambano la masumbwi...
Leo katika taarifa ya habari ya ITV ya saa mbili usiku, kwa macho yangu nikiwa mzima sijalewa nimeshuhudia jambo ambalo mpk sasa nimeshindwa kulielewa. Nape anaanza kudata au siasa za Tanzania zinaruhusu hiyo?
Nape anaonekana akiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida (ambayo iko kwenye...
Inakwenda wiki ya pili sasa mgao bubu wa umeme umeshika kasi na sasa umefikia kuhatarisha mitaji ya watu na usalama wa nyumba zao. Mhishimiwa Mkuu wa Kaya amezua tabia ya kukusanya wacheza bao wa mwembe Yanga na kufanya hotuba ya kujibaraguza kila mambo yanapokuwa magumu na hotuba hizi...
Mara kadhaa nimekuwa nikipigiwa simu na namba 0901901901 ambayo ni automated call. Unapopokea simu hii unapatiwa maelezo ambayo huna haja wala shida nayo jambo ambalo kwangu mimi huwa naliona usumbufu tu. Cha kushukuru angalau kidogo namba hii ni tofauti na namba zingine za simu kwa hiyo sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.