Nilisikia linatumika kwenye vyombo vya habari, lakini hadi sasa nimejitahidi kujuwa
maana halisi ya hili neno lakini sikufanikiwa. Lakini nahisi Wazanzibar wanafahamu vizuri maana naona lilitumika sana na viongozi wa Zanzibar
Kiukweli nimeimisi sana michango ya huyu mwana dada hapa MMU.
Nimmoja wa wana JF ambao nawakubali sana kwenye kutoa nasaha na kuchangia mada mbali mbali hapa jamvini.
Tafadhali popote pale ulipo, naomba ujuwe kwamba tumekumisi sana hapa jukwaani (MMU).
I feel so lucky by having the chance of celebrating this special day of your life. I must say its once in a lifetime. Celebrate this day with people who are dear to you.
I hope that includes me, even though I am invisible to you, you dont know me and I may not be there to be with you, but...
Nikiwa katika hii safari yangu ambayo kwakweli sielewi itaisha lini na pia sijui itaishia wapi, kuna kitu
nimekinote kwa kila msichana ninaejaribu kumu approach.
Hivi unapo muapproach msichana, mnaongeaa then anaanza kukuuliza maswali yafuatayo
1. Kwenu mpo wangapi
2. Wewe ni wangapi kwenu...
Wazee leo yamenikuta jamani, yani unatokea kumpenda msichana, unamueleza nia yako juu yake then bila sababu yoyote ya msingi anakukataa tu. Dah!.....kweli inahitaji moyo na uvumilivu wa hali ya juu sana kuishi as a
single one.
Kijana wa kitanzania umri wangu ni 27yrs, najitokeza jamvi hili kwa mara nyingine tena kutafuta girlfriend/mchumba ambae tunaweza kuwa Mke na Mume kama Mungu akipenda inshallah. Ila naomba awe Muslim, mwenye mapenzi ya dhati na mwenye kujiheshimu. Nipo Dar es Salaam kwa sasa ila ni mzaliwa wa...
Naitwa Salimu, naingia tena uwanjani kumtafuta the real one(Mchumba), Nimechoka sana kuwa single jamani
WASIFU WANGU
Jinsia:Mwanaume
Elimu:Chuo
Umri:27 yrs
Mwonekano:Umbo la wastani, maji ya kunde/mweupe.
Dini: Muslim
Kazi: I have a temporary job for now
Mtoto: Sina
Pombe: Sinywi kabisa
Sigara...
Naitwa Salim Athuman, umri wangu ni 27, kwa imani ni Muislamu na kwa sasa ninaishi DSM.
Nahitafuta msichana mwenye umri kati ya 22 hadi 25 na sifa kubwa awe Muislam, mpole na mwenye kujiheshimu na kujistiri(Mwenye kuvaa mavazi ya heshima).
Itakuwa vizuri awe mweupe/ maji ya kunde, mrefu kiasi...
Sikuzote kumuita msichana Demu huwa siwezi, na hili neno kulitamka kwenye kinywa changu ni zito sana kwakweli. Na kwa nilivyokuwa nikidhani hapo awali nilikuwa najua kama kunmuita msichana demu ni kama kumdhalilisha flani hivi. Ila naona linatumika sana kwakweli, lakini sijui kwa nini hili neno...
Naitwa Salim Athuman, umri wangu ni 27, kwa imani ni Muislamu na kwa sasa ninaishi DSM.
Nahitafuta msichana mwenye umri kati ya 22 hadi 25 na sifa kubwa awe Muislam na mwenye kujiheshimu na kujistiri.
Itakuwa vizuri awe mweupe/ maji ya kunde, mrefu kiasi na mnene kiasi na mwenye elimu at least...
Naitwa Salim Athuman, umri wangu ni 27, kwa imani ni Muislamu na kwa sasa ninaishi DSM.
Nahitafuta msichana mwenye umri kati ya 22 hadi 25 na sifa kubwa awe Muislam na mwenye kujiheshimu na kujistiri.
Itakuwa vizuri awe mweupe/ maji ya kunde, mrefu kiasi na mnene kiasi na mwenye elimu at least...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.