Wadau samahani naomba mnijuze kwa wenye ufahamu?
Katika Mkoa wa Rukwa kuna machimbo madogo ya dhahabu na nasikia biashara ya dhahabu inalipa huko?
Je mtaji inaweza ikawa kiasi gani na soko lake likoje????
Wadau naomba kuuliza, tuliitwa kwenye Interview na hawa jamaa wa ABG kwa nafasi ya CCTV OPERATOR tarehe 26/04/2012, wakasema watatujulisha??
So nauliza kwa yeyote ambaye amepewa feedback????
Wadau naomba kuuliza kwa mtu yeyote aliyefanya Interview NSSF!!
Waliwaita watu wote ambao walikuwa wanawahitaji kwa second Interview au bado wataita tena??
Aisee leo ni siku ya 41 tangu tufanye Interview pale NHIF katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu!!
Mtu yeyote mwenye jipya au tetesi zozote maana zile nafasi zimetangazwa kuwa ni TEMPORARY EMPLOYMENT!!
Sasa kwa hali hii ikiwa Permanent Employment itakuwaje??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.