Search results

  1. M

    Jukwaa la muziki

    Wakuu, nimengojea, bila mafanikio sioni hili jukwaa likirudi. Tatizo ni nini jamani? Utawala JF wengi tunangojea kwa hamu kubwa kuona likirudishwa. Natanguliza shukrani, kwa niaba ya wapenzi wa jukwaa
  2. M

    ippmedia wamebadili website yao?

    Wana jamii, hivi ippmedia wamebadili homepage au wamekuwa hacked..
  3. M

    Yaliyojiri Arusha katika mazishi ya waliouliwa na Polisi

    Waombolezaji wenzangu, tungefarijika kama mngetuhabarisha shughuli ya mazishi ya mashujaa wetu inavyoendelea hapo Arusha kwani saa 4 asubuhi imekaribia. MSIBA: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, akiwa pamoja na Mbunge wa jimbo la Arusha, Godbless Lema, wakibeba mwili wa marehemu Ismail Omar...
  4. M

    Elections 2010 Gazeti la Guardian lapotosha juu ya pongezi za Obama kwa Watanzania

    Jamani hayo maandishi meusi yana uhusiano na ujumbe aliopeleka Obama na running title waliyoweka the Guadian?? Mbona waTz tenapendelea kudangany'ana kila siku ?? Yaani media za Tz ni zero!! US President Barack Obama has congratulated President Jakaya Kikwete on his re-election as the president...
  5. M

    Mweusi wa Kwanza kuchaguliwa Kiongozi nchini Russia

    Nimeona kwenye nyuuzi za leo mweusi wa kwanza kuchaguliwa diwani huko Russia. Pamoja na ubaguzi wa rangi wa wazi unaofanyika kwenye hilo Taifa, huyu mheshimiwa mwenye asili ya Guinea, anasema ameruka vihunzi na vizingiti vyote na hatimaye kuandika historia.
  6. M

    Tanzania on spot mauaji ya albino

    Hizi habari za mauaji ya albino zinasikitisha na kututia aibu kubwa. Hebu angalieni Associated Press walivyoandika http://news.yahoo.com/s/ap/20091128/ap_on_re_af/af_africa_albino_killings
  7. M

    Muziki zilipendwa haupatikani..

    Mods tangu jana niimeshindwa kusikiliza zilipendwa na miziki mingine. Kuna tatizo gani
  8. M

    China now 3rd Biggest World Economy

    Habari za CNN zinasema China 1. Wamewapiku Germany na sasa wapo nyuma ya Japan na USA in terms of economic volume/gross domestic product. 2. Uchumi wao umekua 10-fold tangu 1979 (i.e. within 30 yrs period). 3. Wamefuta umaskini kwa watu 200 million, more than 90% of the total population...
  9. M

    Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa..BoT yaendelea kukombwa

    Urgent need to clean up Central Bank’s top hierarchy Courstesy ThisDay Editor FRESH reports of payments amounting to over 6bn/- paid to four private companies by Bank of Tanzania (BoT) through the country’s troubled external payment arrears (EPA) account during financial year 2006/7 have...
  10. M

    Hatimaye TRA waingia meza ya mazungumzo

    To Dear our customers, Good day to you, Trust you and all your family members are fine. This is Toru Ogawa, staff of Autorec Enterprise Ltd. Japan. Thank you very much for your kind and daily support to us and we have been working hard and enjoyng doing business in Tanzania...
  11. M

    Tanzania is one of 10 poorest countries..Why??

    1 Malawi 2 Somalia 3 Comoros 4 Solomon Islands 5 DRC 6 Burundi 7 East Timor 8 Tanzania 9 Afghanistan 10 Yemen Majority of these countries underwent political instability. But TZ has been always politically stable and endowed with vast natural resources. We need to take this issue...
  12. M

    Is Bongo another Bagdad?, sad story indeed!

    Siri ya polisi yafichuka 2007-11-29 10:33:01 Na Lucy Lyatuu Sakata la askari polisi walioua na kuwajeruhi raia jijini Dar es Salaam, limeingia sura mpya baada ya mmoja wa aliyejeruhiwa katika tukio hilo, kupinga waziwazi taarifa ya Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Bw...
  13. M

    Is Tanzania so corrupt?

    Najua wengi wamepoteza interest na haya magazati.Lakini naona ni vema mara mojamoja kuangalia yaandikwayo. LETTER FROM NAMIBIA : Is Bongo that corrupt? Kiangiosekazi Wa-Nyoka, Windhoek Daily News; Tuesday,November 27, 2007 @00:01 IS what we hear from Bongo true? Over the last...
  14. M

    Ujumbe toka kwa Dr. Slaa

    Ndugu Mtanzania Mzalendo, Lengo la nyaraka hii ni kutoa ufafanuzi wa kina kuhusu hoja mbalimbalizilizojitokeza kutokana na 'Hoja yangu ya Kuundwa kwa Kamati Teule yaBunge', kuchunguza matumizi mabaya fedha za umma, uwezekano wa uwepo waubadhirifu, uwizi na ufisadi mkubwa ndani ya BOT ambacho ni...
  15. M

    Magereza ya wenzetu

    More prisoners living in solitary confinement The Yomiuri Shimbun (Japan) The number of prisoners living in solitary confinement has been growing, and accounted for 47 percent of all prisoners as of the end of September, it has been learned. According to sources, the increase has been...
  16. M

    Buzwagi kuna makubwa, inasikitisha

    Wananchi sasa waibana Buzwagi Na Patrick Mabula, Kahama SAKATA la baadhi ya wanakijiji wenye mali wakiwamo wachimbaji wadogo katika mgodi wa Buzwagi ambao walishagoma kupokea fidia kutoka kampuni ya Barrick kwa madai kuwa wanapunjwa na kwenda mahakamani, wamegoma kuondoa...
Back
Top Bottom