Na maandamano ya wanene yanakuja - nchi hii nzuri kweli kwa maandamano. Watu wala hatuendi kufanya kazi ni maandamano kwa kwenda mbele mpaka kieleweke.
Hili ni tatizo la Watanzania wengi. Huwa hawafuatilii taarifa mbali mbali kwenye vyombo vya habari. Nafikiri jambo hili limekua linatangazwa tangu mwaka jana kwenye vyombo vya habari na sababu ya kufanya hivyo. Hata JK aliwahi kuongelea wakati anaweka jiwe la msingi la mradi wa DART. Sasa...
Kwani kwenye website yao hawana? Limitation huwa zinakuwepo kwenye kesi za madai. Angalia law of limitation wameeleza. Lakini kama sijakosea limitation ni 5 years unless unaomba court leave kama unaweza kuishawishi mahakama kwa nini hukudai kipindi hicho.
Hayo mengine muone mwanasheria...
Si kweli. Mimi mwenyewe nimejisomesha kwa kufuga kuku. Naona umeitafsiri hiyo kauli kwa msimamo hasi. Ni kweli kuku kama hawafi na magonjwa wanakutoa .
Kasahau hata madaktari wanakata kichwa badala ya mguu, na engineers wanabomoa gorofa kwa kuanza chini badala ya juu. Hizo ni challenges ambazo ziko katika kila fani. Lakini huwezi sema yaani huoni kabisa umuhimu wa wanasheria. Uhukumiwe kifo halafu mwanasheria akusemee mahakamani ndio...
kwenye avatar yako, hapo v inapoishia/inapoanzia panaitwa ndumandu, nilipokuwa chuo kuna room mate wangu flan alikuwa nayo kubwa hakunaga he hee afu anavaa suruali za kupa-bana zaidi. Alikuwa analalamika sana kuwa kila anaekuja mbele yake lazima amuangalie sana maeneo ya ndumandu.
Unanikumbusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.